Tumeshasikia kitu wanaita ujasiliamali wa maudhui (content enterpreneurs), hii ikoje?
Hii ni biashara kama biashara zingine na wengi wanafanya na wanapiga mpunga wakutosha. Kuna baadhi ya wadau nimewataja hapo juu wanafanya hii kitu na wengine wengi.
Inafanyikaje?
Kinachofanyika watu hurekodi...
Miaka ya nyuma hasa utawala wa kikwete Jf ilikuwa inashindanishwa na michuzi, in short, system ilikuwa inataka kuuwa Jf na kuifanya michuzi bora zaidi lakini mwisho wa siku kila kitu kilikwama Michuzi blog ikajifia kifo cha mende na Mjegwa blog ikajifia kifo cha mende
Sasa utawala huu unatumia...
Haina haja ya kulialia sana hata waziri Jafo alisema figisu katika chaguzi ni vitu vya kawaida sana hata Israel na Marekani vipo cha muhimu ni vyama vya upinzani kuonyesha ukomavu na kujiongeza kama walivyofanya Renamo au Unita
Wapinzani wanadeka sana juzi katekwa kiongozi wao huko hai na...
nI MMOJA WA WAPENZI WA MTANDAO WA HUUYU MH
LO NIMEONA NITOE YA MOYONI
VIDEO NYINGI UKISEMA.UNAFUNGUA UNAKUTANA NA MATANGAZO YA WANAIMDHAMINI BADALA YA. VID HUSIKA HUU UJINGA AUFAI
SIO KILA.MTU ANA BET WENGINR WANATAKA KUONA MATUKIO
HIKI.NDICHO NIMEKUTANA NACHO BAADA YA KUAVLICK VID
hATA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.