Content enterpreneurs: Sky Walker, Salama Jabir, Millard Ayo nk

mayowela

JF-Expert Member
Nov 2, 2014
2,124
1,746
Tumeshasikia kitu wanaita ujasiliamali wa maudhui (content enterpreneurs), hii ikoje?
Hii ni biashara kama biashara zingine na wengi wanafanya na wanapiga mpunga wakutosha. Kuna baadhi ya wadau nimewataja hapo juu wanafanya hii kitu na wengine wengi.

Inafanyikaje?
Kinachofanyika watu hurekodi vipindi vya redio au TV na kuviuza kwenye media houses au kuingia ubia na kugawana kinachopatikana.

Ninaowafahamu wanafanya biashara hii ni , Sky Walker (Fredrick Bundala), Millard Ayo, Dorin Noni, Salama Jabir, Oka and Carpoza na wengine wengi.

Kuna vipindi ambavyo watu hujiuliza mbona kipindi flani siku hizi hakiruki tena, au mbona kinarushwa na TV mbili tofauti, au flani mbona karekodi kipindi kimeenda you tube na kwenye TV kinaruka.

ON AIR with Millard: Kinaruka Clouds Plus ni kwa mkataba; kuna kipindi itafika mkataba utaisha na kipindi kinaweza endelea au kikasitishwa, ile Content ni ya Millard sio Clouds Plus, wao wamenunua.

WOMEN MATTERS: Inaruka Wasafi TV kile ni kipindi idea ni ya Sky Walker na mkewe ila baadae Wasafi walikipenda na dili likafanyika.

SALAMA NAA:
Hii ni Idea ya amabayo inaruka kwenye akaunti ya YouTube ya salama pia inaruka EATV.

MEZA YA USHINDI: Ni kipindi kinachoruka Classic FM kikitangazwa na Sky Walker, lakini pia kwa kauli yake kipindi hicho kinaweza ruka hata redio zingine endapo kutakuwa na makubaliano kama ilivokuwa kwenye CHILL NA SKY ilikuwa ikiruka redio nyingi za mikoani.

Hata wewe unaweza ukaja na wazo zuri ukalifanyia kazi na ukalipeleka kwenye media; wakikubali wataingia makubaliano na wewe na utakuwa unapiga mpunga wa kutosha tu.

Kama kuna addition ya wajasiriamali wa maudhui unaweza ukawaongezea.

Ahsante.
 
Tumeshasikia kitu wanaita ujasiliamali wa maudhui (content enterpreneurs), hii ikoje?
Hii ni biashara kama biashara zingine na wengi wanafanya na wanapiga mpunga wakutosha. Kuna baadhi ya wadau nimewataja hapo juu wanafanya hii kitu na wengine wengi.

Inafanyikaje?
Kinachofanyika watu hurekodi vipindi vya redio au TV na kuviuza kwenye media houses au kuingia ubia na kugawana kinachopatikana.

Ninaowafahamu wanafanya biashara hii ni , Sky Walker (Fredrick Bundala), Millard Ayo, Dorin Noni, Salama Jabir, Oka and Carpoza na wengine wengi.

Kuna vipindi ambavyo watu hujiuliza mbona kipindi flani siku hizi hakiruki tena, au mbona kinarushwa na TV mbili tofauti, au flani mbona karekodi kipindi kimeenda you tube na kwenye TV kinaruka.

ON AIR with Millard: Kinaruka Clouds Plus ni kwa mkataba; kuna kipindi itafika mkataba utaisha na kipindi kinaweza endelea au kikasitishwa, ile Content ni ya Millard sio Clouds Plus, wao wamenunua.

WOMEN MATTERS: Inaruka Wasafi TV kile ni kipindi idea ni ya Sky Walker na mkewe ila baadae Wasafi walikipenda na dili likafanyika.

SALAMA NAA:
Hii ni Idea ya amabayo inaruka kwenye akaunti ya YouTube ya salama pia inaruka EATV.

MEZA YA USHINDI: Ni kipindi kinachoruka Classic FM kikitangazwa na Sky Walker, lakini pia kwa kauli yake kipindi hicho kinaweza ruka hata redio zingine endapo kutakuwa na makubaliano kama ilivokuwa kwenye CHILL NA SKY ilikuwa ikiruka redio nyingi za mikoani.

Hata wewe unaweza ukaja na wazo zuri ukalifanyia kazi na ukalipeleka kwenye media; wakikubali wataingia makubaliano na wewe na utakuwa unapiga mpunga wa kutosha tu.

Kama kuna addition ya wajasiriamali wa maudhui unaweza ukawaongezea.

Ahsante.

HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani Millard na Wengine walishushwa?....Acha Ujinga kijana Piga kazi punguza kumbwela

HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
kuna sehemu nimesema mimi nazijua media za nchi hii..?, hiko nilikoandika nimetaka kuonesha tu kuwa pia kuna biashara au ujasiliamali wa maudhui kwa ambao walikuwa hawafahamu wajue
 

HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Najua mwanzo mgumu,ila kwa nini usianze na Youtube kwani siku zote kizuri kitaonekana tu.

Mfano lile kundi la Jambo na Vijambo la Comedy wamekuja na idea zao EATV wakawaona,baadaye mkataba ukaisha wakasugua benchi ila leo hii Azam na Wasafi wamewaona.
 
Najua mwanzo mgumu,ila kwa nini usianze na Youtube kwani siku zote kizuri kitaonekana tu.

Mfano lile kundi la Jambo na Vijambo la Comedy wamekuja na idea zao EATV wakawaona,baadaye mkataba ukaisha wakasugua benchi ila leo hii Azam na Wasafi wamewaona.
kabisa kizuri chajiuza chenyewe
 
Changamoto ya hii biashara ni kwa watu ambao sio maarufu/Uwezo lakini wako na Idea nyingi nzuri tu. Ni very 'RISK' kwao pale wanapopeleka Program proposal kwenye Media fulani ambayo kwao ni CHANNEL ya kuifikia hadhira.

Siku chache nyuma nilimsikia msanii wa HipHop Bongo Baghdad ambaye pia ni mtangazaji akilalamika kuibiwa kwa wazo la kipindi chake huko Wasafi Tv. Yeye ni mfano mdogo wa mtu ambaye alipata platform ya kuelezea situation lakini wapo makumi kwa mamia wanadhulumiwa Ideas zao na hawa wanaojikuta ni manguli kwenye tasnia.
 

HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Find the right people! Ila pia kuwa creative kweli kweli maana to be honest hamna mtu ambae anaonaga Idea yake ni mbovu, labda uwe extremely mature ndo unaweza kujikataa sometimes. Wengi hudhani idea zao ndo zenyewe na hamna wakushindana nazo ila kiukweli unakuta hazina jipya.

Naongea kutokana na experience.... mara kibao nimewahi kuambia watu wanitumie their best script na nilijutia dakika zangu nilizotumia kupitia ACT 1 zao (if that was even an act 😏😏).

Alafu usiogope kukoselewa....it's part of the process. Mtu akikosoa wazo lako jaribu kuelewa kwanini ama nini haswa anachokosoa. If it makes sense WORK ON IT, if it doesn't think again.
 
Find the right people! Ila pia kuwa creative kweli kweli maana to be honest hamna mtu ambae anaonaga Idea yake ni mbovu, labda uwe extremely mature ndo unaweza kujikataa sometimes. Wengi hudhani idea zao ndo zenyewe na hamna wakushindana nazo ila kiukweli unakuta hazina jipya.

Naongea kutokana na experience.... mara kibao nimewahi kuambia watu wanitumie their best script na nilijutia dakika zangu nilizotumia kupitia ACT 1 zao (if that was even an act 😏😏).

Alafu usiogope kukoselewa....it's part of the process. Mtu akikosoa wazo lako jaribu kuelewa kwanini ama nini haswa anachokosoa. If it makes sense WORK ON IT, if it doesn't think again.
Uko sahihi sana, hakuna namna ya hawa watu waanze kujisikiliza kwanza wenyewe, wawasikilizishe watu wengine pia kabla ya kupeleka mahudhui sehemu iliyokusudiwa.

Lakini pia nyinyi wahusika mngekuwa fair kuboresha mawazo ya hawa watu, ongezeni nyama palipopwaya.
 
Uko sahihi sana, hakuna namna ya hawa watu waanze kujisikiliza kwanza wenyewe, wawasikilizishe watu wengine pia kabla ya kupeleka mahudhui sehemu iliyokusudiwa.

Lakini pia nyinyi wahusika mngekuwa fair kuboresha mawazo ya hawa watu, ongezeni nyama palipopwaya.

Natilia sana mkazo point yako ya kwanza.

Kuhusu kuwa fair na kuboresha pale inapobidi, trust me some of us do ila kwa kiasi kikubwa sie waswahili tuna kasumba ya kuchukia/kuogopa kukosolewa hata kama ni kwa nia nzuri. Na baadhi ya sie so called "creatives" ni wagumu kuelewa na ubishi umetujaa.

Binafsi huwa najitahidi kumuambia mtu (kama concept yake inatia moyo lakini) wapi ama kipi ambacho ningeongeza nguvu kukiboresha. Sema ndio hivyo mtu akishaondoka ana maamuzi mawili, kujenga wazo lake ama kulalamika halikupokelewa kama alivyotaka yeye.
 
Hicho kipindi cha skywalker classic fm ni saa ngapi! Namkubali sana huyu mwamba toka SITASAHAU, SHOW TIME, BONANZA IJUMAA nk. Kuna siku kama nilimng'aza pale CRDB TOWER BRANCH niliona katokea uzeeni anaelekea ujanani kama ile picha ya akina mpoki na joti. Inaonesha hiyo kazi inawalipa.
 
Changamoto ya hii biashara ni kwa watu ambao sio maarufu/Uwezo lakini wako na Idea nyingi nzuri tu. Ni very 'RISK' kwao pale wanapopeleka Program proposal kwenye Media fulani ambayo kwao ni CHANNEL ya kuifikia hadhira.

Siku chache nyuma nilimsikia msanii wa HipHop Bongo Baghdad ambaye pia ni mtangazaji akilalamika kuibiwa kwa wazo la kipindi chake huko Wasafi Tv. Yeye ni mfano mdogo wa mtu ambaye alipata platform ya kuelezea situation lakini wapo makumi kwa mamia wanadhulumiwa Ideas zao na hawa wanaojikuta ni manguli kwenye tasnia.
Unalolisema lina ukweli, lakini tukumbuke kuzisajili idea zetu ili kuondoa matatizo haya kama ya Baghdad
 
Natilia sana mkazo point yako ya kwanza.

Kuhusu kuwa fair na kuboresha pale inapobidi, trust me some of us do ila kwa kiasi kikubwa sie waswahili tuna kasumba ya kuchukia/kuogopa kukosolewa hata kama ni kwa nia nzuri. Na baadhi ya sie so called "creatives" ni wagumu kuelewa na ubishi umetujaa.

Binafsi huwa najitahidi kumuambia mtu (kama concept yake inatia moyo lakini) wapi ama kipi ambacho ningeongeza nguvu kukiboresha. Sema ndio hivyo mtu akishaondoka ana maamuzi mawili, kujenga wazo lake ama kulalamika halikupokelewa kama alivyotaka yeye.
Mwingine ukimkosoa anakuchukia maisha na kukutangaza vibaya kwa watu kuwa ulimbania
 
Hicho kipindi cha skywalker classic fm ni saa ngapi! Namkubali sana huyu mwamba toka SITASAHAU, SHOW TIME, BONANZA IJUMAA nk. Kuna siku kama nilimng'aza pale CRDB TOWER BRANCH niliona katokea uzeeni anaelekea ujanani kama ile picha ya akina mpoki na joti. Inaonesha hiyo kazi inawalipa.
Kila Jumapili, pia anakipindi clouds plus
 

HUZIJUI MEDI ZA NCHI HII WEWE-

KUNA RAIA KIBAO HUKU KITAA WANA IDEAS KALI ZA MEDIA CONTENT (Mimi nikiwemo)
KULIKO HAO ULIOWATAJA,

ILA UKITAFUTA WATU WA MEDIA UKAWASILISHA CONCERN YAKO,
WATAIPONDA NA KUKUKATISHA TAMAA AS IF HAIFAI KABISA.

ILA SOON OR LATER UTAIKUTA IDEA YAKO ILEILE KWENYE MEDIA HIYOHIYO AU INGINE AMEPEWA MTU WAO MWINGINE ANAENDESHA KIPINDI.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unasumbuliwa na victim mentality

My life is mine to remember
 
Back
Top Bottom