Hii serikali inayojiita ya awamu ya sita ina mambo yake ya kipekee sana!
Kwangu, hii serikali, ndo serikali pekee ninayoweza kusema inaongozwa kwa kutumia akili ndogo sana.
Kuanzia juu, katikati, mpaka chini, viwango vya akili vya watendaji wake ni vya chini mno.
Na mifano yake ni mingi sana...