arusha mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. kyagata

    Hivi watu wa Arusha mjini mpaka sasa mmenufaika nini na Makonda kuwa mbunge wenu?

    Mlimchagua kwa mbwembwe.. Vipi kuna lolote zuri alilolianzisha hapo Arusha mjini tulijue?
  2. Area 56

    Kutoka KIA mpaka Arusha mjini hakuna Trafiki, kulikoni?

    Nimepita Arusha kuelekea kanda ya ziwa, kuanzia pale KIA (Kilimanjaro International Airport) mpaka nimefika Arusha town hakuna trafiki barabarani. Zaidi ya kukutana na barrier za Wanajeshi pale Kikatiti na hapa Monduli. Tena wanajeshi ni wengi sana kuanzia hapo Tengeru mpaka mjini. Hakuna cha...
  3. Roving Journalist

    GE2025 Mkoa wa Arusha: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia

    Wakuu, Mada hii itakuwa na 'Updates' za Uchaguzi Mkuu 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Arusha. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka. Mkoa wa Arusha una una jumla ya majimbo ya uchaguzi (7) ambayo ni Arusha Mjini Longido Karatu Ngorongoro...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Vituko vinaendelea! Haya maandalizi yanayofanyika Arusha Mjini ya kumpokea Samia, pesa inayotumika ni zile B 100 au kodi za watanzania?

    Yani Kila siku unasikia kuna hili mara lile huko alipo Paul Makonda! Hadi sasa bila shaka kuna pesa nyingi zimetumika katika kuyafanya hayo maandalizi ya kumpokea Mgombea Urais wa CCM Samia Suluhu. Yani kila nikiangali uupuzi unaoendelea kufanyika hasira za kinyaru zinazidi kupanda kwa hawa...
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Fataki zapigwa Arusha Mjini katika maandalizi ya kumpokea Rais Samia

    Gharama zinatumika kubwa sana! Na ninachokiona na kujiuliza je hizi bwebwe zote hizi Makonda anazozifanya katika kampeni hizi pesa zote anazitoa wapi? Je anahuwakika wa kushinda na baada ya kushinda anauhakika wa kula uteuzi mkubwa wa uwaziri? Na hapo ndipo atakapozirejesha hizo pesa zote...
  6. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Masheikh wafanya dua ya kumuombea Paul Makonda apate Ushindi Ubunge Arusha Mjini Kupitia CCM

    Mgombea ubunge Arusha Mjini kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Paul Makonda, amefanyiwa dua ya kumwombea kushinda uchaguzi mkuu Oktoba 29, 2025. Dua hiyo ambayo pia imeombea amani katika uchaguzi imefanyika leo Jumanne Septemba 9, 2025 katika ofisi za Baraza Kuu la Waislamuwa Tanzania...
  7. funaku

    GE2025 Comrade Steven Wassira kukutana na wanaCCM Arusha Mjini tarehe 31/8/2025

    Mkongwe anayezeeka huku akili zake zikiwa mpya atakuwa na kikao na wanaccm Arusha kesho saa saba mchana. Hii ndio CCM na hizi ndio kampeni
  8. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Paul Makonda ateuliwa kugombea ubunge jimbo la Arusha Mjini

    Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ameteuliwa na Chama chake CCM kuwa mgombea wa Ubunge jimbo la Arusha Mjini kupeperusha bendera ya chama hichi kuelekea uchaguzi mkuu 2025 Soma Pia: Paul Makonda achukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Arusha Mjini
  9. Busu la Kenge

    Mke wa mbunge wa zamani Arusha mjini kadhulumiwa nyumba na kulala nje

    Mke wa mbunge wa zamani Arusha Felix Mrema kadhulumiwa nyumba na kutupiwa vitu vyake nje. Licha ya mahakama kuu Arusha kutoa uamuzi wa mgawanyo wa mali kati ya Milka Mrema na mume wake Felix Mrema lakini kazuiwa kuingia kwenye nyumba yake ambayo iliuzwa kwa mmiliki mpya. Sasa hivi mama huyo...
  10. M

    GE2025 Kura za maoni zimefanya niwadharau Arusha mjini na Segerea

    Inakuwaje mnachagua mbunge mamluki aliyeishi jimboni miaka miwili tu Arusha mna akili kweli Segerea mnachagua Barabara mbovu jimboni
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CHADEMA Arusha mjini yawafuta 12 uanachama

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Wilaya ya Arusha Mjini kimechukua hatua kali za kinidhamu dhidi ya jumla ya wanachama kumi na wawili (12), wakiwemo watano waliokuwa bado hawajajiondoa kwenye chama na saba waliokimbia chama kwa kujiunga na vyama vingine wakati mashauri yao ya...
  12. M

    GE2025 Rasmi Paul Makonda ni mrithi wa Mrisho Gambo Arusha mjini

    Paul Makonda ameshinda kwa kupata kura zaidi ya elfu 9 ambayo ni sawa na 97% na kuwaacha mbali wenzake kwenye kura za maoni ya ccm kwenye jimbo la Arusha mjini. Wasiompenda msukuma mwana kolomije Paul Makonda sasa watakuwa nae sana hapo mjni =============== Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es...
  13. Mzee

    Arusha Mjini: Inaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania

    Habari za Muda huu Kila nikiangalia Siasa za Arusha zinaonyesha kiwango cha Ujinga wa Watanzania. Naomba kuuliza i. Makonda ana vinasaba gani na Mkoa wa Arusha. Hata kama Arusha kila mmoja ana haki ya kugombea, Makonda amekaa Arusha kwa kipindi gani mbali na kuwa Mkuu wa Mkoa 2. Je! katika...
  14. McLaren

    GE2025 Mrisho Mgambo atupwa kwenye jimbo la Arusha Mjini, Makonda apita kwenye mchujo

    Wakuu, Mambo yanaendelea kuwa mazuri. Ile battle ya Makonda na Gambo imeisha rasmi, Makonda kapita kwenye mchujo
  15. M

    TZS520bn zimepelekwa Arusha kumalizana kabisa na tatizo la maji Arusha mjini ni lita 200milioni kila siku,Hiii ni miaka 4 tu sijui ikiwa 10 itakuwaje?

    "Kwa mujibu wa utafiti ulioongozwa na Benki ya Dunia ulikadiria kuwa kuwekeza dola 1 katika maji safi hutengeneza faida ya dola 4 ya kiuchumi kutokana na kupunguzwa magonjwa ya matumbo (diarrhea) na kupoteza uzalishaji kazi ", Huu Ni mfano mzuri wa jinsi huduma rahisi kama maji safi inavyoweza...
  16. simbeyetz

    Waraka wa pongezi na hamasa kwa Mrisho Gambo, mbunge wa Arusha Mjini

    Mheshimiwa Mrisho Mashaka Gambo, Mbunge wa Arusha Mjini, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kwa heshima na taadhima, ninayo furaha kubwa kukuandikia waraka huu kama kijana na mkazi wa Arusha, nikiwa miongoni mwa waliothamini kwa dhati utumishi wako wa dhati kwa watu wa jiji letu na taifa...
  17. Stroke

    GE2025 Kwa binafsi yangu, Makonda hatufai Arusha mjini

    Nimezaliwa na kukuwa Arusha. Hakuna uchochoro wa mji ambao kwakweli siufahamu. Naona Makonda kama mvamizi tu. Mji haujui, hajui watu wake, matatizo yake na wala hawezi kuyasemea matatizo ya watu wa Arusha kama vile angewasemea watu wa kule kwao koromije. Arusha kwake ni kama ngazi ya...
  18. Sir John Deere

    Kivumbi Arusha mjini: Wananchi wanamtaka Mrisho ,Mfumo analazimisha Paul apewe

    Hii ndio habari ya mjini. Arusha mjini kumewaka moto . Mfumo unalazimisha Makonda apewe , Wananchi wanamtaka gambo aendelee. Je makonda atakubali?
  19. DuaZaMama

    GE2025 Arusha Mjini wapo tayari kumrudisha Gambo

    Baadhi ya wananchi katika Jimbo la Arusha Mjini wameeeleza nia yao ya kumuona Mbunge wa jimbo hilo anayemaliza muda wake, Mrisho Gambo akirejea tena katika jimbo hilo kwa kipindi cha mwaka 2025- 2030 ili aendelee kuwasemea wananchi wakimtaja kuwa mfanyakazi hodari na mwenye kuijua vyema Arusha...
  20. The Zanzibar Echo

    GE2025 Ni Makonda vs Mrisho Gambo Arusha Mjini patachimbika bila jembe

    Mimi kwa uchunguzi wangu mdogo nilioufanya Makonda anaenda kupita mwisho pale bungeni atapewa uwazir wa aina yoyote kama sio uwaziri mkuu mana Majaaliwa kwa za ndani ameshatolewa kwenye mfumo msisahau MAKONDA ndio mtu aliepndeekeza Samia we mgombea mweza wa Magufuli 2015 kwaio mama anahisi bado...
Back
Top Bottom