Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amesema atasimamia kuvunjwa soko la Sabasaba na kujengwa upya, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuboresha mazingira ya wafanyabiashara na kulipa sura mpya ya kisasa.
“Niliposema tunalivunja soko la...
Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameahidi kuboresha sekta ya elimu kwa kuanzisha mpango wa kufuta michango kwa wazazi kuchangia mitihani ya wanafunzi.
“Lengo langu ni kuhakikisha mtoto wa Mtumba anasoma mazingira bora, bila mzazi...
Ndgu wapendwa
Ninaombi kwenu la kazi ya udereva katika kampuni,mtu binafsi, taasisi.
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka (05) katika kazi ya udereva, nikiwa na leseni daraja [A, B, C1, na D], na ujuzi mzuri wa kuendesha magari aina mbalimbali pamoja uzoefu wa kusafiri masafa malefu katika mikoa mingi...
ahmed ally
ali kamwe
amos makala
anthonmymavunde
diamond platinumz
dotto biteko
eng. hersi said
gsm
josephat msukuma
juma aweso
mirlad ayo
mo dewji
paul makonda
proffesional driver
zito kabwe
Waziri wa Madini na Mbunge wa Dodoma mjini amewapatia Waalimu WA shule ya Msingi Mazengo jijini Dodoma bima ya Afya yenye Thamani ya shilingi Milioni 3 kila Mmoja.
Soma, Pia: Mavunde Akabidhi Kompyuta na Printres kwa Shule 50 za Sekondari Jijini Dodoma
Akizungumza leo katika hafla ya Ugawaji...
▪️Awasilisha mpango wa Mining Vision 2030
▪️Serikali yajipanga kuongeza eneo kubwa zaidi lililofanyiea Utafiti wa Madini wa kina
▪️Kampuni za Utafiti Madini zakaribishwa Tanzania
▪️Aelekeza STAMICO kufanikisha upatikanaji wa vifaa ya Utafiti wa awali kwa ajili ya wachimbaji wadogo
𝐓𝐨𝐫𝐨𝐧𝐭𝐨...
-Mbunge Mavunde atangaza zawadi nono za washindi
-Anuia kuendeleza na kuvikuza vipaji vya Vijana Dodoma
-GSM Water na Asas Dairies wanogesha mashindano kwa ufadhili
Dodoma
Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde leo amezindua rasmi ya Ndondo Cup Dodoma 2024 ambayo yanaratibiwa na...
Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana Serikali iangalie namna ya kuunda Bodi ya Mifuko wa Ajira.
Kuundwa kwa bodi ya mfuko wa ajira kutoka kwatika vyanzo mbalimbali vya kodi kutasaidia kupatina kwa fedha za kuajiri wahitimu wengi waliopo mtaani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.