anthonmy mavunde

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mafyangula

    GE2025 Mavunde: Ni bora wanichukie leo, wanikumbuke kesho

    Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, amesema atasimamia kuvunjwa soko la Sabasaba na kujengwa upya, akisisitiza kuwa hatua hiyo inalenga kuboresha mazingira ya wafanyabiashara na kulipa sura mpya ya kisasa. “Niliposema tunalivunja soko la...
  2. Mafyangula

    GE2025 Mavunde: Lengo langu ni kuhakikisha mtoto wa Mtumba anasoma mazingira bora, bila mzazi kubebeshwa mzigo

    Mgombea ubunge wa Mtumba mkoani Dodoma kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM), Anthony Mavunde, ameahidi kuboresha sekta ya elimu kwa kuanzisha mpango wa kufuta michango kwa wazazi kuchangia mitihani ya wanafunzi. “Lengo langu ni kuhakikisha mtoto wa Mtumba anasoma mazingira bora, bila mzazi...
  3. K

    Natafuta kazi ya udereva. Nina uzoefu kusafiri masafa marefu zaidi ya miaka mitano

    Ndgu wapendwa Ninaombi kwenu la kazi ya udereva katika kampuni,mtu binafsi, taasisi. Nina uzoefu wa zaidi ya miaka (05) katika kazi ya udereva, nikiwa na leseni daraja [A, B, C1, na D], na ujuzi mzuri wa kuendesha magari aina mbalimbali pamoja uzoefu wa kusafiri masafa malefu katika mikoa mingi...
  4. Waufukweni

    PreGE2025 Mavunde: Nawapatia Bima ya Afya Walimu wangu, atangaza Miradi ya maendeleo Mazengo

    Waziri wa Madini na Mbunge wa Dodoma mjini amewapatia Waalimu WA shule ya Msingi Mazengo jijini Dodoma bima ya Afya yenye Thamani ya shilingi Milioni 3 kila Mmoja. Soma, Pia: Mavunde Akabidhi Kompyuta na Printres kwa Shule 50 za Sekondari Jijini Dodoma Akizungumza leo katika hafla ya Ugawaji...
  5. Stephano Mgendanyi

    Waziri Mavunde Akaribisha Sekta Binafsi Kushirikiana na Serikali Kwenye Utafiti wa Madini

    ▪️Awasilisha mpango wa Mining Vision 2030 ▪️Serikali yajipanga kuongeza eneo kubwa zaidi lililofanyiea Utafiti wa Madini wa kina ▪️Kampuni za Utafiti Madini zakaribishwa Tanzania ▪️Aelekeza STAMICO kufanikisha upatikanaji wa vifaa ya Utafiti wa awali kwa ajili ya wachimbaji wadogo 𝐓𝐨𝐫𝐨𝐧𝐭𝐨...
  6. Stephano Mgendanyi

    Ndondo CUP Dodoma 2024 Yazinduliwa kwa Kishindo

    -Mbunge Mavunde atangaza zawadi nono za washindi -Anuia kuendeleza na kuvikuza vipaji vya Vijana Dodoma -GSM Water na Asas Dairies wanogesha mashindano kwa ufadhili Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh. Anthony Mavunde leo amezindua rasmi ya Ndondo Cup Dodoma 2024 ambayo yanaratibiwa na...
  7. ismaili sogora

    Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana Serikali iangalie namna kuunda Bodi ya Mifuko wa Ajira

    Kutokana na ukosefu wa ajira kwa vijana Serikali iangalie namna ya kuunda Bodi ya Mifuko wa Ajira. Kuundwa kwa bodi ya mfuko wa ajira kutoka kwatika vyanzo mbalimbali vya kodi kutasaidia kupatina kwa fedha za kuajiri wahitimu wengi waliopo mtaani.
Back
Top Bottom