amechukua fomu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Mgombea chama cha Makini amechukua fomu ya kugombea urais vipaumbele vyake ni elimu, kilimo na Afya

    Mgombea wa Urais kwa Tiketi ya Chama cha Makini, Bw. Coaster Kibonde na Mgombea Mwenza Azza Haji Suleiman, wamejitokeza Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi INEC, Njedengwa Jijini Dodoma, kuchukua fomu ya uteuzi kugombea nafasi ya Urais na kubainisha kuwa wamejipanga kikamilifu kuhakikisha wanashinda...
  2. JanguKamaJangu

    Mwl. Makungu amechukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Bariadi Vijijini, kuchuana na Masanja Kadogosa

    Aliyekuwa Katibu wa Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Simiyu, ambaye ni Mwalimu na Mwandishi mahiri wa Makala , Mwl. Makungu Mussa Sweya, jana 2/7/2025 alichukua na kurejesha fomu ya kugombea Ubunge katika Jimbo la Bariadi Vijijini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mwl. Makungu Ms amesema...
  3. R

    GE2025 Wakili Tumsifu Kweka, amechukua fomu kuwania Ubunge Jimbo la Siha Kupitia CCM

    Wakili wa kujitegemea Tumsifu Kweka, ambaye pia ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Kilimanjaro pamoja na Mkutano Mkuu wa CCM Taifa, leo amejitokeza rasmi kuchukua fomu za kuwania ubunge katika Jimbo la Siha kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Kweka alifika katika Ofisi za CCM wilaya ya...
  4. R

    GE2025 Baisa amechukua fomu kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Mtwara Mjini

    Aliyekuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Tandahimba mkoani Mtwara, Baisa Baisa amechukua fomu ya kugombea nafasi ya ubunge Jimbo la Mtwara Mjini. Baisa, amekabidhiwa fomu hiyo leo Julai 1,2025 na Katibu wa CCM Mkoa wa Mtwara, Fadhili Ukasha Soma pia...
  5. Nipe Maji

    PreGE2025 POTOSHI Askofu Gwajima amechukua fomu ya ubunge jimbo la Kawe Juni, 2025

  6. R

    GE2025 Aliyekuwa mbunge Jimbo la Tabora mjini 2010- 2015 achukua fomu ya kugombea Udiwani kata ya Kivukoni Dar

    Ismail Adeni Rage aliyekuwa mbunge Jimbo la Tabora mjini Mwaka 2010- 2015 amechukua fomu ya kugombea Udiwani kata ya Kivukoni Jijini Dar es Salaam
  7. R

    PreGE2025 Mbunge Jimbo la Mchinga Salma Kikwete anaemaliza muda wake amechukua fomu kuwania kwa mara nyingine

    Mbunge wa Jimbo la Mchinga Salma Rashid Kikwete amejitokeza kuchukua fomu kuwania tena kwa mara nyingine ubunge wa Jimbo la Mchinga Amechukua fomu hiyo mapema leo kwenye Ofisi za Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Lindi Mjini na kukabidhiwa na Mohamed Lawa ambaye ni Katibu wa CCM Wilaya hiyo
  8. S

    Mangungu Jana amechukua fomu kimya kimya Kilwa Masoko

    Mm nafuatilia nyendo zako za kisiasa, Kama nilivyoripoti hapa jamiiforums juzi kuwa Mangungu angechukua fomu jumamosi kWa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge wa jimbo la kilwa kaskazini kupitia chama cha mapinduzi, ni kweli Jana Mangungu ametinga ofc za CCM Wilaya zilizopo eneo la Kilwa...
  9. S

    Bw Murtaza Mangungu Jana jumamosi amechukua fomu kimya kimya kugombea ubunge Kilwa Kaskazini

    Mm nafuatilia nyendo zako za kisiasa, Kama nilivyoripoti hapa jamiiforums juzi kuwa Mangungu angechukua fomu jumamosi kWa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwania ubunge wa jimbo la kilwa kaskazini kupitia chama cha mapinduzi, ni kweli Jana Mangungu ametinga ofc za CCM Wilaya zilizopo eneo la Kilwa...
  10. Just Pray

    GE2025 Yusuph Mwambete achukua Fomu kugombea Udiwani kata ya Ilemi Jimbo la Uyole

    Yusuph Mwambete amechukua Fomu kugombea Udiwani kata ya Ilemi Jimbo la Uyole
  11. DuaZaMama

    PreGE2025 Shabani Rashidi amechukua fomu ya kuwania Udiwani Kata ya Bukoba Mjini

    Shabani Rashidi Said, amechukua fomu ya kuwania udiwani wa Kata ya Bukoba Mjini. Ikumbukwe Ndg. Shabani ndio alikuwa diwani wa kata Bakoba 2020 mpaka 2025.
  12. DuaZaMama

    PreGE2025 Almasoud Dauda (KAMALA) amechukua fomu ya kuwania Ubunge, Jimbo la Bukoba Mjini

    Almasoud Dauda Kalumuna (KAMALA) leo Juni 28, 2025 amechukua fomu ya kuwania Ubunge wa Jimbo la Bukoba Mjini kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Ikumbukwe Kamala mwaka 2020 alichukua fomu na mara baada ya kura za maoni ndiye alikuwa msindi wa kwanza kati ya watia nia 57 Jimboni Bukoba Mjini japo...
  13. W

    GE2025 Geofrey Timoth achukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam kupitia CCM

    Wakuu Naona jimbo la Kawe watu wanalichangamkia sana. === Geofrey Timoth amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Kawe jijini Dar es Salaam kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Timoth amekabidhiwa fomu hiyo leo Jumapili Juni 29, 2025 na Katibu wa Vijana CCM Wilaya, Amos Richard. Jimbo hilo...
  14. DuaZaMama

    PreGE2025 Mwanasiasa Fadhili Fabian Ngajilo, amechukua fomu ya kugombea ubunge Jimbo la Iringa Mjini

    Mwanasiasa Fadhili Fabian Ngajilo rasmi amechukua fomu ya kugombea ubunge wa Jimbo la Iringa Mjini kwa mara ya tatu kupitia chama cha Mapinduzi (CCM). Akizungumza na waandishi wa habari Ngajilo baada ya kuchukua fomu hiyo kwenye ofisi kuu ya ccm wilaya ya iringa mjini amekishukuru chama cha...
  15. W

    GE2025 Aklin Ndelwa achukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea udiwani wa kata ya Mbalatse, Njombe

    Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Aklin Ndelwa amechukua fomu ya kuomba kuteuliwa kuwa mgombea udiwani wa kata ya Mbalatse wilayani Makete mkoani Njombe Baada ya kuchukua fomu leo Juni 28,2025 amesema "Moja ya mambo ya msingi ambayo ninaamini endapo mtaniunga mkono na chama changu pia...
Back
Top Bottom