adolf mkenda

Adolf Faustine Mkenda (born in 1963 Rombo, Kilimanjaro), is a Tanzanian Minister of Agriculture. An associate professor of Economics at the University of Dar es Salaam and a politician who presently serve as a Chama Cha Mapinduzi's Member of Parliament for Rombo constituency since November 2020.

View More On Wikipedia.org
  1. Ileje

    Pole Prof. Adolf Mkenda kwa ugumu wa mazingira ya kazi

    Katika mawaziri wanaofanya kazi katika mazingira magumu ni Prof. Adolf Mkenda, Waziri wa Elimu, Sayansi na Technolojia. Eti Wanu, mtoto wa Samia ndiye naibu wako! Wanu ambaye upeo wake wa kufikiri umeishia kumuwaza mumewe Mchengerwa na mama yake Samia! Hivi Wanu atamsaidia Mkenda katika...
  2. Waufukweni

    Prof. Mkenda: Walimu kutumia choo kimoja na Wanafunzi ni uzembe wa Wakurugenzi na Madiwani

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Profesa Adolf Mkenda amesema kitendo cha Walimu na Wanafunzi kutumia choo kimoja shuleni ni uzembe wa wazi, akisisitiza kuwa hakuna Halmashauri nchini inayoshindwa kujenga miundombinu ya Vyoo kwa viwango vinavyotakiwa. Profesa Mkenda ameyasema hayo Jijini...
  3. Just Pray

    PostGE2025 Waziri Mkenda na Wanu, wasisitiza kuendeleza mageuzi sekta ya elimu

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda, pamoja na Naibu Waziri, Wanu Hafidh Ameir, wamesisitiza dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita kuendeleza mageuzi makubwa katika sekta ya elimu nchini. Akizungumza mara baada ya kuwasili katika Ofisi za Wizara tarehe 18 Novemba 2025...
  4. Blasio Kachuchu

    CRDB Yachangia Madawati 111 na Ujenzi wa Uzio Shule ya Sekondari Prof. Adolf Mkenda, Rombo

    Mkuu wa Wilaya Rombo, Raymond Mwangwala (watatu kulia) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi milioni 10 kutoka kwa Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya CRDB Bank Foundation, Coletha Ndunguru (wapili kushoto) kwa ajili ya kuchangia ununuzi wa vifaa vya ujenzi wa uzio wa Shule ya Sekondari...
  5. Waufukweni

    PreGE2025 Prof. Mkenda: Rais Samia aagiza kila Wilaya kujengwa VETA, Ujenzi unaendelea katika Wilaya 64

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda amesema Rais Samia ameagiza kila wilaya ambayo haina VETA ya serikali ijengewe VETA ya serikali. Ujenzi unaendelea katika wilaya 64 Tanzania nzima. Vile vile, wakati Rais Samia anakula kiapo, kulikuwa na mikoa mitano ambayo haikuwa na...
  6. S

    Waziri Adolf Mkenda must go! Kwa ajili ya HSLB!

    Waziri Mkenda ameshindwa kusimamia kwenye wizara yake bodi ya mikopo HSLB imekuwa bodi ya wizi wa mishahara ya watumishi tu na wanaoibiwa siyo watoto wa vigogo ni watoto wa wakulima! Inakuwaje mtumishi anakuta makato ya bodi ya mikopo kwenye mshahara wake wakati mtumishi huyo hajawahi kusoma...
  7. Mindyou

    Waziri Mkenda aonya Shule binafsi zisizofuata kalenda ya masomo na kulazimisha watoto kubaki shuleni kipindi cha likizo

    Wakuu, Hii ni kwa zile shule binafsi ambazo hawaruhusu watoto kurudi likizo au hawafuati ile ratiba kufunga na kufungua shule ambayo imewekwa na Wizara ya Elimu, leo Mkenda amezungumza Akiwa anatoa hotuba leo kwenye Mkutano wa 35 wa Baraza la Wafanyakazi wa Wizara hiyo mkoani Morogoro, Waziri...
  8. Mindyou

    Waziri wa Elimu Adolf Mkenda: VETA na elimu ya ujuzi ni njia ya kujihakikishia kwamba tutaweza kuhimili ongezeko la watu

    Waziri wa Elimu,Sayansi na Teknolojia Prof Adolf Mkenda amesema Serikali imeamua kuwekeza katika elimu ya mafunzo na ufundi stadi (VETA) ili kuweza kuongeza ajira nchini kwa miaka ijayo kwani elimu hiyo itasaidia katika kuhimili ongezeko la watu. Prof Mkenda amezungumza hayo mkoani Morogoro...
  9. Waufukweni

    Wanafunzi wa VETA wafanya ukarabati Muhimbili, Prof. Mkenda apongeza uwezo wao

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, amesema wanafunzi wa VETA, ambao leo Machi 15, 2025, wamefanya ukarabati kwenye wodi ya watoto ya Hospitali ya Taifa Muhimbili, ikiwemo kupaka rangi, wamekuja kuonesha uwezo wao kutokana na yale wanayojifunza VETA. "Sisi tunafurahi...
  10. milele amina

    Waziri wa Elimu Adolf Mkenda pole sana Kwa msiba wa mama Yako Mzazi

    Pole sana sana kwa msiba mkubwa. Mungu akutie nguvu kipindi hiki kigumu!
  11. Msanii

    Tutafakari pamoja: Waziri Mkenda anaposema wasaidizi wa Rais waliweka kauzibe asimwone mkuu wa nchi, hadhi ya Waziri ipoje kwani?

    Waziri wa Elimu ndugu Mkenda katika hotuba yake ya uzinduzi wa Mtaala mpya wa elimu ametoa kali ya mwaka pale aliposema kuwa Yeye na timu ya wataalam walipata ugumu kuonana na Rais ili wampatie briefing ya yaliyomo kwenye mtaala mpya. Nimezalisha maswali kadhaa ya tafakuri hapa.... Waziri...
  12. Mindyou

    Waziri wa Elimu ataka shule ya Baobab kuchunguzwa kisa video chafu zilizosambaa

    Wakuu, Waziri wa Elimu, Sayansi na Tekonolojia, Dkt. Adolf Mkenda amesema wizara hiyo itatuma timu ya wataalam Shule ya Sekondari Baobab iliyopo Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani kuchunguza kwa kina sakata la video zinazosambaa mtandaoni ambazo ni kinyume na maadili ya Kitanzania. Soma pia...
  13. Waufukweni

    Wanafunzi wa Shule ya Msingi Nduweni wamshukuru Mbunge Prof. Mkenda kwa zawadi za fedha kwa waliofanya vizuri

    Wanafunzi wa Shule ya msingi Nduweni Kata ya Tarakea motamburu wilaya Rombo wamemshukuru Mbunge wa jimbo la Rombo Prof Adolf Mkenda ambae pia ni Waziri wa elimu sayansi na Teknojia nchini kwa zawadi za fedha kwa wanafunzi waliofanya vizuri katika masomo kwa mwaka 2024 Akizungumza kwa niaba ya...
  14. Waufukweni

    Waandishi wana njaa mnategemea wataacha kuwa makanjanja na mchawa? Walipeni muone kama watalamba miguu yenu

    Wakuu habari yenu Kuna jambo ameongea Waziri wa Elimu, Sayansi, na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, akitahadharisha kuhusu athari ya teknolojia katika tasnia ya habari nchini, akisema inaweza kusababisha kuibuka kwa watu wasio na ujuzi wa kitaaluma "makanjanja" wanaoeneza taarifa za propaganda...
  15. Waufukweni

    Prof. Adolf Mkenda: Tasnia ya habari iko hatarini kwa makanjanja

    WAZIRI wa Elimu, Sanyansi na Teknolojia, Prof.Adolf Mkenda, ametahadharisha kuwa kuna hatari kubwa teknolojia ikawaleta makanjanja wengi kwenye tasnia ya habari ambao hawana elimu na masuala ya habari kama hatua hazitachukuliwa haraka. Amesema makanjanja hao wataonekana wao ndio wasemaji wa...
  16. Roving Journalist

    Prof. Adolf Mkenda: Serikali inaendelea kuweka mazingira wezeshi kwa Walimu

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, Oktoba 05, 2024 katika Siku ya Walimu Duniani ametoa salam za heri ya Siku ya Walimu Duniani akiwa Mkoani Njombe. Katika Salam zake alizotoa akiwa pamoja na baadhi ya Walimu wa Mkoa wa wa Njombe Prof. Mkenda amesema Serikali inatambua...
  17. I

    Prof.Mkenda aweka jiwe la msingi ujenzi wa Shule Makowo, awadokeza Wanafunzi fursa 'Samia Scholarship'

    Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda ameweka jiwe la msingi katika shule ya Sekondari Makowo iliyojengwa kupitia Mradi wa kuendeleza Elimu ya Sekondari (SEQUIP) Akizungumza baada ya kuweka jiwe la msingi la ujenzi Septemba 20, 2024 Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia...
  18. D

    PreGE2025 Prof. Adolf Mkenda pekee anaweza kukivusha CCM 2025

    Prof. Adolf Mkenda Kwa hali ilivyo kwa hakikq ni Waziri wa Elimu Prof. Mkenda anaweza kukivusha CCM katika nafasi ya Urais. Sifa pekee za Mkenda ni pamoja na mtu wa principles. Ana msimamo usiyoyumba. Lakini kubwa zaidi Mkenda hana makundi ndani na nje ya CCM. Anajisimamia . Mkenda hana...
  19. D

    Kisa Malisa, Vijana wa Rombo wamkalia kooni Mbunge wa Rombo

    TAMKO LA VIJANA WA ROMBO WAISHIO DAR ES SALAAM (VIWARO-DAR) Umoja wa vijana wa Rombo waishio Dar es salaam, Ni chama Huru cha vijana waliotokea wilayani rombo Mkoani Kilimanjaro ambao wanaishi Dar es salaam. Umoja wetu kwa sasa una Jumla ya wanachama 4886 Chama hiki kilianzishwa Rasmi mwaka...
  20. BigTall

    Malisa ahojiwa kwa saa tano, inadaiwa amefunguliwa mashtaka matatu

    #Updates Usiku wa kuamkia leo Juni 7, 2024, Malisa amefikishwa Moshi Mjini, na Jeshi la Polisi limempeleka moja kwa moja Ofisi ya RCO. Taarifa kutoka CHADEMA zinaeleza kuwa Wakili Peter Kidumbuyo ameambatana na Malisa katika mahojiano hayo. Picha tofauti za Malisa na Boni wakiwa na Wadau...
Back
Top Bottom