ado shaibu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Ado Shaibu: Tunduri umeme unakatika mara 20 kwa siku

  2. Waufukweni

    Ado Shaibu: Vyombo vya dola vifanye uchunguzi wa kina, vijiridhishe kama waliokamatwa Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru kama alivyoahidi Rais

    Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amezitaka Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi pamoja na Wizara ya Katiba na Sheria kufanya uchunguzi wa kina ili kujiridhisha kama watu wote waliokamatwa katika matukio ya Oktoba 29, 2025 wameachiwa huru, kama...
  3. McLaren

    Mbunge Ado Shaibu aichangia Shule ya Jamhuri Tshs Milioni 3

    Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini Ado Shaibu amechangia Shilingi Milioni tatu katika harambee ya ujenzi wa Bwalo la Chakula na Ofisi ya Utawala katika Shule ya Msingi Jamhuri iliyopo Wilayani Tunduru. Ado ametoa mchango huo kwenye harambee ya wazazi iliyofanyika shuleni hapo leo tarehe 13...
  4. R

    PostGE2025 Ado Shaibu: Sitolala mpaka Tanzania ipate Katiba mpya

    Mbunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema kukosekana kwa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi kumeendelea kuwa chanzo cha wananchi wengi “kulia machozi ndani ya mioyo yao,” akiahidi kupigania mabadiliko hayo ndani ya Bunge bila kuchoka. Ado alitoa...
  5. R

    Video: Mbunge wa Tunduru Kaskazini Ado Shaibu ala kiapo bungeni

    Mbunge wa Jimbo laTunduru kaskazini akila kiapo Bungeni wakati wa Kikao cha Kwanza cha Mkutano wa Kwanza wa Bunge la Kumi na Tatu wa Bunge leo Novemba 11, 2025. Ikumbukwe Ado Shaibu ni miongoni mwa wabunge wachache wa upinzani kutoka ACT-Wazalendo walioshinda katika kinyanganyiro batili cha...
  6. DuaZaMama

    PostGE2025 Ado Shaibu auliza kuhusu katiba mpya Mgombea ZUNGU asema iko njiani

    "Ndugu mgombea mheshimiwa Zungu ningependa kufahamu katika bunge utakaloliongoza iwapo utachaguliwa kuwa spika litakuwa na mchango gani katika kuboresha demokrasia nchini Tanzania hasa katika muktadha wakujenga mwafaka wa kitaifa na kuhakikisha Tanzania inapata katiba mpya?". Mbunge mteule wa...
  7. McLaren

    GE2025 Ado Shaibu: Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma asimamishe kazi alizonazo ashughulikie tatizo la wafugaji na wakulima

    Wakuu Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kupitia Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu, amemkosoa vikali Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma kwa kile alichokiita kupuuzia mauaji yanayoendelea katika mgogoro kati ya wakulima na wafugaji wilayani Tunduru. Akizungumza katika mkutano wa hadhara...
  8. R

    GE2025 Ado Shaibu aahidi kuwa Mbunge wa Kupigania haki na kutatua Changamoto za wananchi wa Tunduru

    Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu Ado amevifikia vijiji 40 vya Jimbo hilo kupitia kampeni yake ya Kijiji kwa Kijiji ambayo sasa imefikia siku ya 12 tangu uzinduzi wa kampeni yake tarehe 7 Septemba 2025 Katika kampeni zake amewahaidi...
  9. R

    GE2025 Ado Shaibu ala kiapo kuwatetea Wakulima Tunduru

    Katibu Mkuu wa Chama cha ACT- Wazalendo ambaye pia ni mgombea wa ubunge Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ado Shaibu ameahidi , akipewa ridhaa na wananchi atapigania masilahi ya wakulima kwa kuhakikisha wanapata pembejeo za kilimo kwa wakati na bei nzuri za mazao yao Akihutubia katika uzinduzi wa...
  10. JanguKamaJangu

    GE2025 Ado Shaibu: Wapo wengi wanatoka CCM wanabisha hodi ACT, tunawakaribisha

    Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Chama hicho, leo Agosti 6, 2025, amesema kuna wimbi kubwa la Watu wanaotaka kujiunga nao wakitokea CCM na Vyama vingine vya upinzani na kwamba wao wanawakaribisha.
  11. JanguKamaJangu

    GE2025 Ado Shaibu: ACT Wazalendo tuna wagombea, Udiwani kila Kata na Ubunge majimbo yote

    Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ado Shaibu, amesema kuwa Chama hicho kinao wagombea Udiwani kwenye Kata zote Tanzania Bara na Zanzibar. Lakini pia amessema kwamba tayari kwa Zanzibar wameshapata wagombea kwenye majimbo yote ya Zanzibar na Tanzania Bara. Aidha amesema kwamba kuna...
  12. Roving Journalist

    GE2025 Ado Shaibu anatoa msimamo wa ACT, leo Julai 10, 2025

    https://www.youtube.com/live/mAyL2E4ozFY?si=989f6lx54eyphlzX POLISI WAACHE KUINGILIA MCHAKATO WA UCHAGUZI Chama cha ACT Wazalendo kimepokea taarifa kuwa Jeshi la Polisi kupitia Makamanda wa Polisi (OCD's) na Maofisa wengine waandamizi wa Polisi wameanza kufanya mawasiliano na viongozi wetu...
  13. DuaZaMama

    PreGE2025 Ado Shaibu: Wezi Wa Kura washughulikiwe kama Wezi Wengine

    mwizi wa kura ni kama mwizi anayevunja duka, kuiba fedha na kufanya matukio mengine kama hayo hivyo anapaswa kushughulikiwa kama wezi wengine. Akizungumza leo Juni 18, Katika viwanja vya Bakhresa, Manzese Ubungo Dar Es Salaam, Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo, Ado Shaibu Ado amesema...
  14. W

    PreGE2025 Ado Shaibu akiri anawaogopa CCM na vyombo vya dola watawaibia kura zao

    Wakati akijibu alipoulizwa na mtumiaji mmoja wa X kuhusu operesheni yao ya #lindakura kwamba wanaogopa nani ataiiba alijibu; "CCM na vyombo vya dola! Oktoba"
  15. Just Pray

    PreGE2025 Ado Shaibu: Sitaacha kuhamasisha wezi wa kura washughulikiwe na wananchi

    Wakuu Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo, Ado Shaibu amesema kuwa ataendelea kuhamasisha bila hofu wananchi wawashughulikie wezi wa kura kama wanavyowashughulikia wezi wengine kwenye jamii ili haki ya wananchi kuchagua viongozi wanaowataka iheshimiwe.
  16. Waufukweni

    PreGE2025 Ado Shaibu: Msajili alitukatalia teuzi, tukamalizana kibingwa, CHADEMA wamalize mechi ''Kibingwa''

    Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu ameeleza kuwa yanayotokea sasa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema kilitokea kwao pia mwaka 2019, wakati Msajili wa Vyama vya siasa alipokataa Uteuzi wa Maalim Seif na viongozi wengine waliokuwa wameteuliwa na Halmashauri...
  17. Waufukweni

    PreGE2025 Ado Shaibu: Hakuna mwenye haki miliki ya kugombea ACT Wazalendo

    Katibu Mkuu wa Chama cha ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amesema watasimamia Demokrasia kwa vitendo katika mchakato mzima wa kuwapata wawakilishi wa nafasi mbalimbali watakaoenda kushindana na wanachama wa vyama vingine katika Uchaguzi mkuu ujao wa Rais Waubnge na Madiwani unaotarajiwa kufanyika...
  18. Just Pray

    PreGE2025 Ado Shaibu: Kila mwenye sifa ana haki kugombea nafasi yoyote, demokrasia ni mapambano, wagombea nane wa ubunge wamechukua fomu Mkoani Songwe

    Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo Ndugu Ado Shaibu amesema kuwa Chama hicho kinaamini katika kuonesha demokrasia kwa vitendo hivyo hakuna mtu yeyote ambaye ana hatimiliki ya kugombea ndani ya Chama. Ndugu Ado amesema hayo kwenye tukio la Songwe Day lililowakutanisha watia nia wanaogombea nafasi za...
  19. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Ado Shaibu: Mkienda katika uchaguzi kila chama kinapigania nafasi yake

    Mkienda katika uchaguzi kila chama kinapigania nafasi yake, wapinzani tunapaswa kuungana"-Ado Shaibu - Katibu Mkuu wa ACT Wazalendo. Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na...
  20. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Ado Shaibu: Uchaguzi wa mwaka huu hautakiwi kugubikwa na udanganyifu ikiwemo uwepo wa kura feki

    Chama cha ACT Wazalendo kimemtaka Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kuhakikisha kuwa kauli aliyoitoa katika hotuba ya maadhimisho ya Muungano kuhusu uchaguzi huru na wa haki mwaka huu, inatekelezwa kwa vitendo na si kwa maneno pekee. Wito huo umetolewa na Katibu...
Back
Top Bottom