Smart Technician
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 653
- 826
Katika android yako amini unaweza kubadili chochote usichokipenda mfano nembo ya tecno sim inapowaka na kuzima;
1. Nembo ya Tecno simu inapowaka na kuzima
2. Kubadili rangi ya notification bar
3. Kubadili ringtone na kuweka za nyimbo unazotaka
Na vingine vingi kiurahisi tu.
SEMA WEWE UNATAKA KUBADILI NINI? NIKUSAIDIE UBADILI HAPO HAPO.
NOTE: KUBADILI HIVI VITU UNATAKIWA KU ROOT KWANZA SIMU YAKO.
Hivyo;
1. Download kingroot app kwenye google
2. Install na bonyeza batan kubwa ya duara ikionesha tiki ujue tayari
3. Simu inaweza kuzima na hujiwasha yenyewe(boot) kwahiyo usiwe na hofu haujaharibu kifaa chako
4. Kama haikuzima, zima na iwashe utaona app ya supersu imetokea kwenye menyu ujue tayari.
1. Nembo ya Tecno simu inapowaka na kuzima
2. Kubadili rangi ya notification bar
3. Kubadili ringtone na kuweka za nyimbo unazotaka
Na vingine vingi kiurahisi tu.
SEMA WEWE UNATAKA KUBADILI NINI? NIKUSAIDIE UBADILI HAPO HAPO.
NOTE: KUBADILI HIVI VITU UNATAKIWA KU ROOT KWANZA SIMU YAKO.
Hivyo;
1. Download kingroot app kwenye google
2. Install na bonyeza batan kubwa ya duara ikionesha tiki ujue tayari
3. Simu inaweza kuzima na hujiwasha yenyewe(boot) kwahiyo usiwe na hofu haujaharibu kifaa chako
4. Kama haikuzima, zima na iwashe utaona app ya supersu imetokea kwenye menyu ujue tayari.