Mastamind
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,316
- 840
Nampango wa kuhamia Arusha sasa ctaki kuhangaika kubeba mavitu,
Chumba kipo Moro mjoni kati kabisa mitaa ya Uhuru kodi ishalipiwa mpk mwakani mwezi wa Feb.
Chumba kina vitu vyote muhimu na vya kisasa kabisa vyenye umri wa mwaka mmoja, vitu hivyo ni Kitanda na godoro lake futi tano, sofa lakisasa kwa vijana lazma walikubali, mkabati wa nguo futi tano kwa tano, Tv frat screen Samsung galaxy hyo nch 26 na dish lake lake futi sita channel zote full,, bufa, deck haijatumika toka upya, fen ya juu, dressing table, fen ya chini, red capet manyoya futi kumi majaba ya maji, jiko la gesi na set ya masufuria yake, Bike yakutembelea hapa na pale na other accessories za ndani muhim
nichek 0685989130
Chumba kipo Moro mjoni kati kabisa mitaa ya Uhuru kodi ishalipiwa mpk mwakani mwezi wa Feb.
Chumba kina vitu vyote muhimu na vya kisasa kabisa vyenye umri wa mwaka mmoja, vitu hivyo ni Kitanda na godoro lake futi tano, sofa lakisasa kwa vijana lazma walikubali, mkabati wa nguo futi tano kwa tano, Tv frat screen Samsung galaxy hyo nch 26 na dish lake lake futi sita channel zote full,, bufa, deck haijatumika toka upya, fen ya juu, dressing table, fen ya chini, red capet manyoya futi kumi majaba ya maji, jiko la gesi na set ya masufuria yake, Bike yakutembelea hapa na pale na other accessories za ndani muhim
nichek 0685989130