Nauza Chumba na Samani zake Full Morogoro

Nauza Chumba na Samani zake Full Morogoro

Mastamind

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2013
Posts
1,316
Reaction score
840
Nampango wa kuhamia Arusha sasa ctaki kuhangaika kubeba mavitu,

Chumba kipo Moro mjoni kati kabisa mitaa ya Uhuru kodi ishalipiwa mpk mwakani mwezi wa Feb.
Chumba kina vitu vyote muhimu na vya kisasa kabisa vyenye umri wa mwaka mmoja, vitu hivyo ni Kitanda na godoro lake futi tano, sofa lakisasa kwa vijana lazma walikubali, mkabati wa nguo futi tano kwa tano, Tv frat screen Samsung galaxy hyo nch 26 na dish lake lake futi sita channel zote full,, bufa, deck haijatumika toka upya, fen ya juu, dressing table, fen ya chini, red capet manyoya futi kumi majaba ya maji, jiko la gesi na set ya masufuria yake, Bike yakutembelea hapa na pale na other accessories za ndani muhim

nichek 0685989130
 
Anahama hapo kwa kina Bwakila, Nkude njoo huku mjini upange nyumba la kisasa hili
 
Ushauri wangu kama unaenda Arusha beba hivyo vitu,UTANIKUMBUKA

umeongea kweli kaka..aende msamvu akatafute luggage transpot agency inayoaminika ..agharamie 200-300 maximum kusafirisha hiyo mizigo...au avizie lori zinazorudi arusha tupu bila mizigo abargain nao 100-150.... ARUSHA VITU BEI IKO JUU MNO LAZIMA AVIKUMBUKE HIVYO.... la ziada tafuta mdau umpangishe hapo unapokaa akulipe hela ya miezi iliyobakia..uongezee sente za usafiri..
.....just an advice
 
Nampango wa kuhamia Arusha sasa ctaki kuhangaika kubeba mavitu,

Chumba kipo Moro mjoni kati kabisa mitaa ya Uhuru kodi ishalipiwa mpk mwakani mwezi wa Feb.
Chumba kina vitu vyote muhimu na vya kisasa kabisa vyenye umri wa mwaka mmoja, vitu hivyo ni Kitanda na godoro lake futi tano, sofa lakisasa kwa vijana lazma walikubali, mkabati wa nguo futi tano kwa tano, Tv frat screen Samsung galaxy hyo nch 26 na dish lake lake futi sita channel zote full,, bufa, deck haijatumika toka upya, fen ya juu, dressing table, fen ya chini, red capet manyoya futi kumi majaba ya maji, jiko la gesi na set ya masufuria yake, Bike yakutembelea hapa na pale na other accessories za ndani muhim

nichek 0685989130

'duh,ee bwana kitanda futi tano na kabati futi halaf carpet futi kumi mkuu kwa hiyo ukiingia unafunikwa na manyoya huonekaniki kabiaa aisee,JF KUZURI SANA TEH TEH'
 
'duh,ee bwana kitanda futi tano na kabati futi halaf carpet futi kumi mkuu kwa hiyo ukiingia unafunikwa na manyoya huonekaniki kabiaa aisee,JF KUZURI SANA TEH TEH'

:A S-confused1::A S-confused1: Chizi ww
 
Nampango wa kuhamia Arusha sasa ctaki kuhangaika kubeba mavitu,

Chumba kipo Moro mjoni kati kabisa mitaa ya Uhuru kodi ishalipiwa mpk mwakani mwezi wa Feb.
Chumba kina vitu vyote muhimu na vya kisasa kabisa vyenye umri wa mwaka mmoja, vitu hivyo ni Kitanda na godoro lake futi tano, sofa lakisasa kwa vijana lazma walikubali, mkabati wa nguo futi tano kwa tano, Tv frat screen Samsung galaxy hyo nch 26 na dish lake lake futi sita channel zote full,, bufa, deck haijatumika toka upya, fen ya juu, dressing table, fen ya chini, red capet manyoya futi kumi majaba ya maji, jiko la gesi na set ya masufuria yake, Bike yakutembelea hapa na pale na other accessories za ndani muhim

nichek 0685989130
Mastamind Hakika mganga hajigangi,..... Wewe ni mtalaam wa kuandika Proposal sasa imekuwaje umeshindwa kuviandikia proposal vifaa vyako na kuvinadi kwa wadau bila ya kuweka thread hapa, alafu upo Arusha unalalamika eti siku ya tatu unatafta kazi, sasa umma hapa utashindwa kukuamini.
 
Last edited by a moderator:
Hii ni kuuza au?
Maana nimeona heading nikasema labda ni appartment kama pale Kariakoo.

Kweli mkuu umeamua kuuza,yaani hapo kasoro ku mention kwamba na Dem wangu wa Msamvu namuuza pia.

Ukiweka picha ya hizo samani na chumba utavutia wengi kaka.
 
Nampango wa kuhamia Arusha sasa ctaki kuhangaika kubeba mavitu,

Chumba kipo Moro mjoni kati kabisa mitaa ya Uhuru kodi ishalipiwa mpk mwakani mwezi wa Feb.
Chumba kina vitu vyote muhimu na vya kisasa kabisa vyenye umri wa mwaka mmoja, vitu hivyo ni Kitanda na godoro lake futi tano, sofa lakisasa kwa vijana lazma walikubali, mkabati wa nguo futi tano kwa tano, Tv frat screen Samsung galaxy hyo nch 26 na dish lake lake futi sita channel zote full,, bufa, deck haijatumika toka upya, fen ya juu, dressing table, fen ya chini, red capet manyoya futi kumi majaba ya maji, jiko la gesi na set ya masufuria yake, Bike yakutembelea hapa na pale na other accessories za ndani muhim

nichek 0685989130

Picha Na Bei, Kamilisha Tangazo Lako
 
Mastamind Hakika mganga hajigangi,..... Wewe ni mtalaam wa kuandika Proposal sasa imekuwaje umeshindwa kuviandikia proposal vifaa vyako na kuvinadi kwa wadau bila ya kuweka thread hapa, alafu upo Arusha unalalamika eti siku ya tatu unatafta kazi, sasa umma hapa utashindwa kukuamini.


Kwani tumelazimishana kuaminiana hapa,, wee fanya unachoona kinafaa kwako, km ni vitu ibuka mpk geto uvione upewe na receipt, na km ni kazi chuga onyesha ifanywe full stop
 
Hapo kwenye flat screen ya Samsung galaxy hapooo mmmmmh!!!!!!!!
 
Mastamind Hakika mganga hajigangi,..... Wewe ni mtalaam wa kuandika Proposal sasa imekuwaje umeshindwa kuviandikia proposal vifaa vyako na kuvinadi kwa wadau bila ya kuweka thread hapa, alafu upo Arusha unalalamika eti siku ya tatu unatafta kazi, sasa umma hapa utashindwa kukuamini.

Haka kajamaa kama si kajambazi basi kadalali
 
Last edited by a moderator:
'duh,ee bwana kitanda futi tano na kabati futi halaf carpet futi kumi mkuu kwa hiyo ukiingia unafunikwa na manyoya huonekaniki kabiaa aisee,JF KUZURI SANA TEH TEH'

Kuna msemo usemao ukiwa muongo usiwe msahaliufu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom