upendodaima
JF-Expert Member
- May 23, 2013
- 4,086
- 4,521
Ushauri wangu kama unaenda Arusha beba hivyo vitu,UTANIKUMBUKA
Akifika huko atakuwa billionare so haina shida.hahaa
Ushauri wangu kama unaenda Arusha beba hivyo vitu,UTANIKUMBUKA
Hii ni kuuza au?
Maana nimeona heading nikasema labda ni appartment kama pale Kariakoo.
Kweli mkuu umeamua kuuza,yaani hapo kasoro ku mention kwamba na Dem wangu wa Msamvu namuuza pia.
Ukiweka picha ya hizo samani na chumba utavutia wengi kaka.
Hii ni kuuza au?
Maana nimeona heading nikasema labda ni appartment kama pale Kariakoo.
Kweli mkuu umeamua kuuza,yaani hapo kasoro ku mention kwamba na Dem wangu wa Msamvu namuuza pia.
Ukiweka picha ya hizo samani na chumba utavutia wengi kaka.