Heshima kwenu wakuu,naomba anayefahamu bei ya mizani inayotumika madukani/sokoni kwa ajili ya kupimia unga,mchele,sukari n.k anifahamishe inauzwaje na hapa Dar inapatikana wapi?
Heshima yenu wakuu.Kondom ndio mkombozi wetu mkuu katika maisha ya ngono.Tatizo kubwa linaanza kwenye ufunguaji wa hiyo zana,kondom zinafunguliwa kwa meno,hapa mihemko ndio adui mkuu,wanaume tuna haraka sana baada ya kuandaana,tunaona tunachelewa,njia rahisi ni kufungua kondom kwa meno,KOSA...
Si unajua bata dume anavyolia?kuna jamaa aliiba bata dume watatu,wale bata walikuwa wanalia sana.Katika kuua so hasikamatwe jamaa akawa anawajibu wale bata kila wanapolia.BATA "Ha,ha".MWIZI "Habari ndio hiyooo.Mwizi akatengeneza chorus kama Mwana FA.Ha ha,habari ndio hiyo,ha ha,habari ndio hiyooo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.