Ukweli kuhusu Qnet na hii nmekuja kujua baada ya rafiki yangu wa karibu ambae nlkuwa namchukulia kama ndugu kunilaghai na kuniingiza kwnye hayo matatizo. Nasikitika nlimuamini sana rafiki yangu na hiyo kitu ikaja kunicost. Qnet ni matapeli sana, they will tell you everything ili uingie kwnye...
Kijana pole sana, ila bado hujachelewa.. unaweza kubadili mtazamo na kumrudua muumba wako kwa toba. Wewe kuendelea kuwa hai licha ya maovu yako yote huwez juwa Mungu ana kusudi gani na wewe. It's never too late
hyo pesa unalipa yote kwa mkupuo. Na vile vile ada ya actuarial science ipo ndani ya ada zote za CONAS ambayo ni sh 1,300,000.... Kama umepata hiyo mkuu tutakuwa wote because na mimi nimepata hiyo hiyo. hope umenpata vizuri
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.