Namba 1 na 3 ni kitu kimoja. Sema kuna kausanii kanafanyika kudanganya watu.
Mfumo huohuo mmoja ukiuweka Kimara na Bunju kuna sehemu moja utalazimika kunyonya majitaka na kwingine utazeeka shimo halitokaa lijae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.