Hivi karibuni hapa Jamii Forum tumeshuhudia Tamko kutoka kwa Askofu Bagonza likimshutumu Aliyekuwa Askofu Mkuu wa KKKT Dr.Fredrick Shoo.
Kauli hii inasikitisha sana ikizingatiwa ni Kiongozi Mkubwa sana wa Kanisa la KKKT.
Maswali ya muhimu kwako
1.Kwa Nini uliamua Kutoa Mambo ya KKKT...
Kwanza nikupe Hongera kwa Nia kutaka kuoa,inaonyesha ni kw a Jinsi gani unahitaji kujenga familia na mwezi wako
Turudi kwenye Mada,unapoingia mw
1.Hongera kwa kupevuka Hadi kufikia kuoa
2.Kwa kuwa umekubali kupevuka zingatia msimamo wako bila kuyumbishwa na watu tofauti tofauti vinginevyo...
Eti Nina anamtega kimapenzi Ntando mtoto wa Lincorn,ili kulipiza kisasi kwa Lincon ambaye amemtema na kwenda kwa Lungi
Lungi nae anamzingua Mzee Lincon kwa sababu ya umbea toka kwa Seshaba kuwa Lincon alimuua Mke wake.
Hedrick nae stress tupu na familia yake,wife amekaza kumsamehe kwa kosa la...
Ukweli mama yangu ni muongeaji cna na ni mtu wa fact yaani yeye hapindishi ukweli ni ukweli na sisi tumelelewa hivyo nakumbuka kipindi cha uchumba kuna kipindi Wife alipitiwa kidogo mama alimuita na kumkanya waziwazi basi toka kipindi hicho mke hamkubali kabsa nilishawahi kumwambia toka cjamuoa...
Asante cna, sehemu anapkaa Mama Yangu unapanda dala dala kufka Huko na mimi Ndio Niko karibu na Mama yangu Ndugu zangu wengine wapo nje Ya mkoa huu. Hivyo mara nyingi mimi Ndio Nategemewa kwenda kumsabahi mara moja moja ukizingatia ni mjane
Habarini !! Tayari nilifanikiwa kupata mke miaka miwili sasa na mtoto juu, ila Mke na Mama yangu hawaelewani kila cku maneno mke hamsikilizi mama kwa chochote ukifka kwa mama naye malalamiko, nilishawahi kumkanya Kidogo mke kuwa mvumilivu na Mama yangu lakini imeonekana kuwa ngumu, ingawa...
Habarini!
Juzi nilikuwa niko na mpenzi wangu ambaye tunatarajia kufunga ndoa mwezi wa sita. Katika kupiga stori nikawa namuonya juu ya jambo fulani.du mwanamke saa ngapi asianze kkumbushia eti mama yangu anamchukia cna hampendi ni kweli kipindi cha miaka miwili ya Nyumba mama alitaka kumkataa...
Ikiwa utakuwa na mawazo ya kufikirika na kuhc kuwa hutaweza kuoa msomi na usioe kamwe oa darasa la saba kabsa but ikiwa utaoa form 4 au diploma elewa atakuja kujiendeleza tuu labda uwe milionea. Na Kwa kifupi tuu
Habari,
Nina mchumba wangu ambaye nimepanga kwenda kujitambulisha kwao mwezi huu August lakini kwa sasa niko kwenye hali ngumu kwa kuwa wazee wangu wa huku Meru hawataki nioe Mchaga na wanasema ni bora ningeoa Mmeru kuliko Uchagani wakitoa sababu tofauti tofauti.
Mchumba wangu huyu ni...
Wana jf;
natumai ni wazima wa afya njema;nina mchumba (elimu ya chuo)ambaye tuna miaka takribani miwili sasa.ila toka nianze kuwa nae mara nyingi watu wangu wa karibu wa kike na wakiume huwa hawamkubali cna na hata nikimleta kwa watu kwa mara ya kwanza watu huwa hawamkubali labda wakae nae kwa...
Mbona iko wazi rudia kusoma genetics olevel.kuchanganya damu karibu si vema kwa afya ya akili hata kama isipotokea kwa mtoto wa kwanza itatokea kwa vizazi vingne.pole ingawa maneno yangu si sheria unaweza kuendelea na mchakato!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.