Wakuu habari za asubuhi,
Tafadhali naomba msaada nilikuwa naendesha Suzuki Carry (kirikuu) lakini ghafla ikawasha hiyo warning light kwenye dashboard. tafadhali naomba kuelewa hiyo taa inamaanisha shida iko eneo gani au shida ni nini kabla sijaenda kwa mafundi wetu?
Heshima kwenu wakuu. Nyumba inauzwa ipo Kinondoni Mkwajuni.
Sifa za Nyumba: Nyumba kubwa ina vyumba vitano, vitatu vinawapangaji viwili vimeezekwa havijawekwa milango wala madirisha. Na kimoja kati ya hivyo viwili ni master bedroom. Pia kuna vyumba viwili vingine vya uani navyo vina wapangaji...
Habari wakuu, nauza incubator ndogo ya mayai 60,inatumia umeme bei ni 230,000/=
Na pia washing mashine brand name ni BEKO, RPM 1000, inauwezo wa kufua nguo kilo 5, bei yake ni 500,000/=.Kwa anayehitaji anaweza kuni PM. vitu vyote vipo dar.Asanteni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.