Dafo
Member
- Aug 1, 2012
- 75
- 69
Heshima kwenu wakuu. Nyumba inauzwa ipo Kinondoni Mkwajuni.
Sifa za Nyumba: Nyumba kubwa ina vyumba vitano, vitatu vinawapangaji viwili vimeezekwa havijawekwa milango wala madirisha. Na kimoja kati ya hivyo viwili ni master bedroom. Pia kuna vyumba viwili vingine vya uani navyo vina wapangaji, kwa ujumla nyumba ina vyumba saba.
Mahali ilipo: Ipo Kinondoni mkwajuni nyuma ya nyumba za zamani zilikuwa za NHC. Kwa kutembea hadi kituoni ni dakika 7 hadi 10. Gari haifiki hadi nyumbani.
Bei: Nyumba inauzwa kwa Shilingi Milioni 70 (70,000,000/=)
Mawasiliano: 0788 562143 / 0653 685339.
Asante.
Sifa za Nyumba: Nyumba kubwa ina vyumba vitano, vitatu vinawapangaji viwili vimeezekwa havijawekwa milango wala madirisha. Na kimoja kati ya hivyo viwili ni master bedroom. Pia kuna vyumba viwili vingine vya uani navyo vina wapangaji, kwa ujumla nyumba ina vyumba saba.
Mahali ilipo: Ipo Kinondoni mkwajuni nyuma ya nyumba za zamani zilikuwa za NHC. Kwa kutembea hadi kituoni ni dakika 7 hadi 10. Gari haifiki hadi nyumbani.
Bei: Nyumba inauzwa kwa Shilingi Milioni 70 (70,000,000/=)
Mawasiliano: 0788 562143 / 0653 685339.
Asante.