Tatizo lenu wanawake mkishapata ndoa, mnajisahau mnaona mmemaliza kila kitu hata penzi (tendo la ndoa) tunapata kwa shida hivyo lazima tujiongeze kukabiliana na hali
Kwa bahati nzuri nimepata abiria wangu, ingawa kwa leo nimepata watatu bado ipo nafasi moja, tuendelee kupeana moyo hii ni njia mojawapo ya kupambana na ugumu wa Maisha sioni haja ya kuvunjana mimi nimeweka hapa jamii forum, lakini kuna member wengi humu hii hoja wameichua na wameanza kuifainyia...
Kweli kabisa Mkuu, ndio maana tunapambana kutafuta namna kuishi. Mfano wiki iliyopita nilienda Dodoma kikazi nikapita mbezi Stend nikachakua vichwa vyangu vinne na wakati hivyo nikapita pale CBE nikabeba vichwa vyangu vinne kurudi Dsm na kila kichwa 25000 kwa kila kichwa unaachia buku mpiga debe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.