Search results

  1. K

    Akisimama Makonda Mungu kasimama, je akisimama Magufuli nani kasimama?

    Nadhani tumetafsiri vibaya kauli ya Makonda. Kwa nilivyoitazama Mimi alidhamiria kuonesha kazi anayoifanya ya kutetea wanyonge hata Mungu anaifurahia hivyo anaposimama Makonda Mungu anakua upande wake. Sasa mlitaka aseme akisimama na shetani amesimama?.......Nani amemfuata Makonda ili atoe...
  2. K

    RC Makonda ashtakiwa kwa kudhalilisha wanawake na kukosa maadili

    Jana katusaidia mengi sana wananchi wa Mabwe pande. Sikubaliani na hoja kwamba ziara zake hazitatui matatizo. Jana tu tatizo la Maji, Ardhi na afya viliwekwa sawa.
  3. K

    Natafuta kiwanja maeneo haya Dar es Salaam

    Viwanja ninavyo Bunju ukubwa ft20 kwa 20.. Bei 3.5m...tuwasiliane 0655515253
  4. K

    Swala Tano na Walokole mnazingua maofisini

    Uvivu ni tabia ya mtu haihusiani na kuswali swala 5 wala kuhudhuria vikao vya dini. utafiti wako wa watu wawili hautoshi kuhitimisha hoja yako. pia naona hiyo ya mlokole umeiweka tu kubalance. yaleyale Radio iman Vs Radio Maria.
  5. K

    nadumu 60 za asali nauza 90 elfu kwa lita 20

    Asali iko wapi kwasasa? ni muhimu kujua gharama za usafiri kutoka ilipo. na haijachakachuliwa?
  6. K

    Kwa mnaoishi Mbeya, msaada please

    Tafuta UWATA SCHOOLS MBEYA kwenye mtandao. wako vizuri.
  7. K

    Pamoja Na Changamoto Nyingi, Dar Es Salaam Ndio Sehemu Ambayo Kila Mtu Anaweza Kufanikiwa

    umenena vyema Mkuu. mkoani fursa bado ziko wazi na ukizitumia vizuri unapasua fasta. hatuwezi kujazana Dar ili tufanikiwe. hatuishi kwa mazoea Bali tunaishi kwa kujifunza.
  8. K

    CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

    daaaah afadhali.. wife leo asahau mambo ya tamthilia..
  9. K

    CHAMPIONS LEAGUE FINAL: REAL MADRID vs ATLETICO MADRID 24:05:2014

    zaidi ya DSTV king'amuzi gani kitaonyesha mechi ya leo?...
  10. K

    Maswali na majibu kuhusu Uhamiaji

    kama mmetimiza vigezo vya utanzania, std 7, doc za serikali ya mtaa n.k basi endeleeni kufanya subra. haya maneno ya mtaani ni ya kukatisha tamaa. hebu endeleeni na mapambano kuliko kuzua uongo usiokuwepo.
  11. K

    Tanzia: Ustadh Ilunga afariki dunia

    wagala ni wehu sana. sasa hapo muujiza gani ikiwa mtu amefariki kifo cha kawaida akitokea kwenye matibabu India. hakuna muujiza hapo kwani kitu mtu anaonja kifo.
  12. K

    Zima Moto Updates

    watoe na ya uhamiaji tuchague pakwenda
  13. K

    Laptop inauzwa bei Nafuu!

    Mkuu bado ipo?
  14. K

    Zanzibar haijawahi kuingiza shule katika 10 bora katika matokeo kidato cha 4 kwanini?

    hapana si kweli wengine tumepita madrasa, tumehifadhi Quran na bado tuna GPA kubwa kutoka vyuo vinavyoheshimika duniani hivyo ni suala la mtu sio mfumo wa kiislamu.
  15. K

    Zanzibar haijawahi kuingiza shule katika 10 bora katika matokeo kidato cha 4 kwanini?

    Mimi ni muislamu ila kiukweli hatuko serious kwenye elimu. Mimi nimepeleka mwanangu wa miaka minne shule ya awali ya kiislamu hakuna utaratibu wa kueleweka wanavyo mchukulia mtoto wa nursery ni sawa na darasa la NNE. tusipobadilika tutabaki kulalamika daima.
  16. K

    Uzazi kwa operation

    Naomba ushauri kwa wataalamu mana jambo linanitia hofu sana. ni kwamba mke wangu amejifungua kwa operation miezi sita iliyopita sasa tumegundua amepata mimba nyingine wakati afya yake haijatengamaa. Kuna athari gani kwa mama na mtoto?
  17. K

    VODACOM: ni wezi hata mkirudi.

    vp airtel wamekupa ticket ya bure ya kwenda kumuona Rouney... ?tuache tuchague wenyeweee..
  18. K

    Samsung sgh 1827 inauzwa call 0713626027

    ni ya wizi au yakwako umegundua ni mbovu?
  19. K

    Sasa ni wakati wa Zanzibar kumsimamisha mgombea urais 2015 kupitia ccm.

    Vipi tukichagua rais kwa ukiristo wake? hasa padre.
Back
Top Bottom