Hakuna mwenye akili yake atakaekubaliana na kilichosomwa, Bunge la KATIBA YA SITTA lilipoanza lilikuwa na wajumbe 630 (BARA 420 na ZANZIBAR 210)
bunge lilipomaliza mchakato na matokeo ya Kura kutangazwa, bunge lilikuwa na waJUMBE 630 (BARA 411 na ZANZIBAR 219) kwa nini?? - kura zisipotosha...
Ukimaliza form 6 na kupata matokeo mazuri, hutachaguliwa kwenda chuo kikuu hadi ewe umeapply for university admission through TCU or individual university (for some universities such as MUM and others which arenot under CAS (central admission system)). Kama una nia ya kuminya mwaka huu kwa nini...
Inatakiwa serikali moja tu?? na nani?
Ikiwa muungano ni wa wananchi. Na takwimu za Tume ya Kurekebisha Katiba zinaonyesha kuwa 60% ya watanganyika waliopendekeza mfumo wa muungano wametaka serikali tatu na less than 1% ya wazanzibar waliotoa maoni yao wamependekea serikali moja. Sasa unaposema...
Michezo sio Suala la Muungano. Argument yako nini? Kwamba TFF inatambuliwa FIFA bado hakuifanyi michezo kwa ujumla au mpira wa miguu in particular kuwa ni suala la Muungano. Huo ni mfano mmoja wa Tanganyika "kuvaa koti la muungano" na kujipa hadhi yaTanzania isivyo halali.
Rejea hati ya Muungano iliyotolewa hadharani ukulu hivi karibuni. Mpira sio moja kati ya mambo 11 ya muungano. Kwa hivyo malinzi ni rais wa mpira wa Tanganyika tu. Urais wake mwisho Chumbe.
Kwa mujibu wa rasimu ya katiba mpya "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
1.-(1) Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni Nchi na Shirikisho lenye mamlaka kamili ambalo limetokana na Muungano wa nchi mbili za Jamhuri ya Tanganyika na Jamhuri ya Watu wa Zanzibar, ambazo kabla ya Hati ya Makubaliano ya...
Sasa COAST REGION na ZANZIBAR mbona ni sehemu tofauti. Leo kweli nakubali ule msemo "TO KILL A DOG, GIVE HIM A BAD NAME". Zanzibar kuna skuli kila baada ya kilometer. Wakati elimu ya lazima kwa bara ikiwa ni darasa la 7 -na wengi hawakuweza kuifikia/kuipata, kwa zanzibar ilikuwa ni form 3...
Najuwa sana Muungano huu ulikuwa ni wa SHINIKIZO na MASLAHI ya nani. So dont lecture me on "kuungana mapema kujenga Umoja wa Kiafrika". Katika train iliyoanza safari April 1964 hadi leo miaka 50 baadae kuna abiria aliyeongezeka. kwanini? Dhamira ya umoja wa afrika ilipotelea wapi? Baada ya...
Mazingira yepi Simphola? Sio Zanzibar, Huku jua lilichomoza zamani, Walipiga kura mara tatu 1961, 1963, kuchaguwa chama gani kiwaongoze baada ya uhuru wa 10th December 1963, kwa hamasa kubwa. Washindwe kujibu kura ya maoni? Dont ridicule us.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.