Sherehe za Muungano zinatakiwa kuchangiwa na pande mbili za Muungano?

senene.

Member
Mar 19, 2014
98
9
wana jf nijuzeni km sherehe ya muungano mwaka huu imechangiwa na serkal ya zanzibar kwakuwa nao n sehemu ya muungano.
 
inavyoonekana huwa hawachangii chochote kwenye muungano hata wafanyakaz wa muungano watokao zanzibar wanalpwa na tanganyika.
 
Hao ni waswahili wetu hawana shida, tumeshawalipia kila kitu yahe!
 
Naona mnajichanganya, utachangiaje kitu usichokipenda. Na vipi tanganyika marehemu inaweza kulipia nchi iliohai. HHapo inathibitisha maneno ya Warioba kwamba Tanganyika imevaa koti la Muungano. Na mawazo ya waliowengi Tanganyika ndio Tanzania. Kweli nyinyi ni watwana mnakataa hata nchi yenu. Mbona warundi na waruwanda hawajakata iwe nyinyi tu kuna jambo hapa limejificha. Mkiambiwa mnatisha watu kwa kuonyesha vifaa vya kijeshi na makomando na kutishia kuingia misituni.
 
inavyoonekana huwa hawachangii chochote kwenye muungano hata wafanyakaz wa muungano watokao zanzibar wanalpwa na tanganyika.

Benki kuu, ni ya muungano,ndiyo maana wakati wa vita na Amin fedha zote zikiwemo za serikali ya Zanzibar zilitumika, kwa ajili ya kugharamia vita ile na mambo yote yatokanayo na vita,mbona wazenj hawalalamiki? Acheni bwana.
 
Benki kuu, ni ya muungano,ndiyo maana wakati wa vita na Amin fedha zote zikiwemo za serikali ya Zanzibar zilitumika, kwa ajili ya kugharamia vita ile na mambo yote yatokanayo na vita,mbona wazenj hawalalamiki? Acheni bwana.

chanzo cha mapato bot ni nini?
 
wana jf nijuzeni km sherehe ya muungano mwaka huu imechangiwa na serkal ya zanzibar kwakuwa nao n sehemu ya muungano.

Labda ungetuelezea ni vipi Zanzibar imekuwa sehemu ya muungano ? Ninavyojua mimi katiba yake haisemi hivyo tena !
 
wana jf nijuzeni km sherehe ya muungano mwaka huu imechangiwa na serkal ya zanzibar kwakuwa nao n sehemu ya muungano.

Walishasema hawana uwezo wa kuchangia na wao hawautaki Muungano ndo maana hata sherehe za Muungano hazijawahi kufanyika Zanzibar
 
wana jf nijuzeni km sherehe ya muungano mwaka huu imechangiwa na serkal ya zanzibar kwakuwa nao n sehemu ya muungano.


Tanzania Revenue Authority (TRA) inakusanya kodi Zanzibar pia. Na hizo kodi za wananchi ndizo zinazotumika kugharamia sherehe.
 
Naona mnajichanganya, utachangiaje kitu usichokipenda. Na vipi tanganyika marehemu inaweza kulipia nchi iliohai. HHapo inathibitisha maneno ya Warioba kwamba Tanganyika imevaa koti la Muungano. Na mawazo ya waliowengi Tanganyika ndio Tanzania. Kweli nyinyi ni watwana mnakataa hata nchi yenu. Mbona warundi na waruwanda hawajakata iwe nyinyi tu kuna jambo hapa limejificha. Mkiambiwa mnatisha watu kwa kuonyesha vifaa vya kijeshi na makomando na kutishia kuingia misituni.

Akili za UKAWA ukichanganya na Akil za Bavicha, ni noma!
 
wana jf nijuzeni km sherehe ya muungano mwaka huu imechangiwa na serkal ya zanzibar kwakuwa nao n sehemu ya muungano.
Unawezaje kutuambia ufahamu wako katika masuala ya muungano kwa zinavyoendeshwa hasa katika shughuri za maazimisho zinavyoazimishwa.
 
wana jf nijuzeni km sherehe ya muungano mwaka huu imechangiwa na serkal ya zanzibar kwakuwa nao n sehemu ya muungano.
Bajeti ya Nchi na mambo ya Muungano hupangwa na kuidhinishwa na bunge! unalingine au ushambenga tu? Nuko NGO gani? Tanzania na Watanzania wataendelea kubaki wamoja mpaka mwisho wa dunia...puppet kama nyie hamtafua dafu mbele yetu wazalendo wenye uchungu na nchi yetu...
 
Bajeti ya Nchi na mambo ya Muungano hupangwa na kuidhinishwa na bunge! unalingine au ushambenga tu? Nuko NGO gani? Tanzania na Watanzania wataendelea kubaki wamoja mpaka mwisho wa dunia...puppet kama nyie hamtafua dafu mbele yetu wazalendo wenye uchungu na nchi yetu...

Bajeti gani? Wacha kupotosha? Tuambie ni lini sherehe hizi zilifanyika Znz. Yani MACCM leo ndio wazalendo wa nchi hii? Kisa tu wanatetea matumbo yao kwenye serekali mbili?
 
Bajeti gani? Wacha kupotosha? Tuambie ni lini sherehe hizi zilifanyika Znz. Yani MACCM leo ndio wazalendo wa nchi hii? Kisa tu wanatetea matumbo yao kwenye serekali mbili?

Kibanga Ampinga Mkoloni Rebman; Punguza hasira kwani hasira hupelekea kutokuwa na uwezo wa kufikiria sawasawa! Mifumo yote iliyopo pamoja na uimara na madhaifu yake ni Mifumo ya serikali iliyoko madarakani i.e Mifumo ya CCM! CCM ndiyo inayotawala bara na visiwani! Bajeti ni ya CCM, Methodology inayotumika kuandaa na kuratibu shughuli za kitaifa zote ni za CCM! Waziri anaeshughulikia masuala ya Muungano ndiye mwenye dhamana ya uaandaaji wa sherehe tajwa chini ya makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania... Fuko Kuu Hazina/BoT vyote vinamilikiwa na kuendeshwa na CCM...Waandaji wametoka pande zote mbili za muungano ndiyo maana askari na halaiki walijumuisha watu kutoka pande zote mbili za muungano ...Ukisema wanatetea matumbo yao bila ya substantial evidence wengi wetu hatukuelewi maana wengi tulitamani pawepo na constant supplies kwa majeshi na watoto wetu wa halaiki muda wote wa shughuli kama bajeti ingeruhusu! Unless unakitu kingine kimejificha nyuma ya pazia unakililia bila ya kuidhihirishia umma...Itoshe kusema kuwa Maonyesho ya Miaka 50 ya Muungano wetu yalifana na kufanikiwa sana !!! Suala la nani kachangia zaidi waule akina Prof Lipumba, Muhongo, Ndugai, Lukuvi, kigwangala et al Sisi kwetu Sherehe ile tuliiangalia kwa ummoja wetu kama Watanzania ..
 
Back
Top Bottom