Eee Mungu watumie wakatholiki kuikomboa Tanganyika, waraka wa Kanisa umegusa sii tu Bandari, Bali madini, Loliondo, Bunge, Mahakama.
Haijawahi tokea.
Kwa mara ya kwanza kanisa la Tanzania limetikisa mihimili yote mitatu,
Ukombozi wetu upo karibu,
Waumini wa kilutheri ambao wanakubaliana na...
Tulieni hivyo hivyo, hakuna jinsi tutachunwa Hadi akili ziturudie, aliyewalaani amekufa, watu na akili zenu mnaikana Tanganyika mlifikiri mtakuwa salama? Mama wachune Hadi mifupa, ngedere sisi
Wangezuia wasinge kimbilia mahakamani, wananchi wanahaki zote za kuiondoa Serikali yao madarakani muda wowote, wanapohisi viongozi wamelewa na wanaihujumu nchi
Maandamano sii kosa
Kupindua serikali sii kosa, Serikali zinapinduliwa Kwa njia nyingi halali , maandamano halali yanaweza kupindua serikali kihalali, acheni kukariri
Maandamano sii kosa
Kupindua serikali sii kosa, Serikali zinapinduliwa Kwa njia nyingi halali , maandamano halali yanaweza kupindua serikali kihalali, acheni kukariri
Hili ndilo kundi la Wagner ndani ya Tanzania, wanapewa Kila kitu na Serikali , fedha , Magari ulinzi, silaha nk.
Siasa za Kirusi ndani ya CCM sii jambo jipya,
Miaka 6 ya Magufuli kundi hili la Wagner lilipata nguvu ya kipekee sana,
Kila wanapohisi upinzani unapata nguvu, CCM huwapa uhuru...
Hili ni tishio jipya la usalama Kwa nchi zetu za Africa.
Uwepo wa Wagner group Africa kunapelekea mapinduzi ya kijeshi kwa Serikali halali za Africa haswa zile zisizo egemea upande wa Urusi.
Uwepo wa Wagner group Africa kunaibua njia mbadala Kwa wanasiasa wetu wenye uchu wa madaraka kuchukua...
Hii ni mbinu ya kuwatisha CDM, ukweli IGP hana mpango wa kuwafungulia mashitaka kina Slaa maana kwanza hakuna hoja yenye mashiko, anachofanya ni very psychological, anatuma ujumbe Kwa Mbowe na Lisu indirectly, nafikiri ujumbe umefika, angalia wiki hizi mbili, wapo wapi kina Mbowe na Lisu...
Nimepanda boda boda leo, kwenye stories kaniambia sababu ya kifo Cha Rais ni pale alipogusa utukufu wa Mungu, kwamba tulimsifu kupitiliza, sasa hii ya kusigina Bible ni kubwa jingine hilo
Upinzani hususani, CUF na CDM wapo hatarini kupoteza viti vingi vya ubunge, udiwani kutokana na sababu moja kubwa.
Wapiga kura wamekuwa wakiwapa kura zao, wao hawajiandai kulinda kura zetu Wala kuzipigania,
Wanarudi kwetu wananchi wakilia wameibiwa kura na hata kuporwa ushindi.
Wananchi...
Kwa nini mnasema ni utapeli? Mbona hapa Dar yupo anayejenga nyumba kama hiyo kwa 25 milioni tuu, amefanya na anafanya wateja kibao, ndani ya siku 60 anakukabidhi nyumba yako kiwanja chako, umeme, maji ndani, 0715829576
Kama nchi yeyote ya Africa inataka maendeleo ya dhati basi katiba zao zafaa zifanyiwe marekebisho yafuatayo:
1. Jaji Mkuu ateuliwe kwa kupigiwa kura na majaji wenzake na awe huru asiingiliwe na chombo chochote kile
2. Bunge liongozwe na wapinzani bila kujali idadi yao bungeni, spika atoke...
Mfumo wa Vyama vingi je uliasisiwa Kuzimu?
Huu ndio mfumo ovu kuwahi kutokea duniani, mfumo wa siasa za vyama vingi ni mfumo unaoruhusu wale waliochaguliwa kihalali kuishi nyuma moja na wale wasio watakia mema, wanabeza na wanaofanya jitihada za dhati kuhakikisha utawala halali haufanikiwi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.