mzee wa kijiwe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2012
- 947
- 684
Kama nchi yeyote ya Africa inataka maendeleo ya dhati basi katiba zao zafaa zifanyiwe marekebisho yafuatayo:
1. Jaji Mkuu ateuliwe kwa kupigiwa kura na majaji wenzake na awe huru asiingiliwe na chombo chochote kile
2. Bunge liongozwe na wapinzani bila kujali idadi yao bungeni, spika atoke upinzani
3. Serikali iongozwe na vyama vyenye wabunge bungeni, chama chenye wabunge wengi kitatoa Rais wa nchi, chama kilichoshika nafasi ya pili kitatoa Waziri Mkuu.
Je unafikiri ni nchi ipi Africa inaweza kuyakubali mawazo haya kabla ya 2025?
1. Jaji Mkuu ateuliwe kwa kupigiwa kura na majaji wenzake na awe huru asiingiliwe na chombo chochote kile
2. Bunge liongozwe na wapinzani bila kujali idadi yao bungeni, spika atoke upinzani
3. Serikali iongozwe na vyama vyenye wabunge bungeni, chama chenye wabunge wengi kitatoa Rais wa nchi, chama kilichoshika nafasi ya pili kitatoa Waziri Mkuu.
Je unafikiri ni nchi ipi Africa inaweza kuyakubali mawazo haya kabla ya 2025?