hahahaha
kopi ya amatus liyumba. Im wondering at tanzanians 'how can u even think of leaving the guy in the office by this moment??" the way i know him,angekuwa kweli ana sababu muhim na zenye manufaa kwa taifa idrisa ninayemjua mimi angeshawaonyesha waandishi barua ya kujiuzulu.....huwa hana...
Tanzania sijui ni lini mtaamka ofisa wa serikali ngazi ya ukurugenzi anaanzisha kampuni akiwa ndani ya serikali then ana-apply kuishauri serikali anapewa mkataba bado watu wanasema kulikuwa hakuna mchezo mchafu?
Pambanueni wadanganyika muone wenyewe kampuni hiyo na huyo JJ Kyaruzi ambaye...
TEMBELEA
List of unaccredited institutions of higher learning - Wikipedia, the free encyclopedia
http://en.wikipedia.org/wiki/List_of_unaccredited_institutions_of_higher_learninghttp://en.wikipedia.org/wiki/List_of_unaccredited_institutions_of_higher_learning
Wakuu mimi tatizo langu sio kiswahili na ninampinga netanyau kwa sababu kama za zenu hapo juu ili kinachoniumiza na tbc ni
1. Kuonekana kwake kwa maeneo mengi hususani dar ni mpaka uwe na setelaiti dish-kabla ya kuingia kwenye satelaiti walitakiwa wahakikishe inapatikana locally vizuri kama itv...
Jamani mimi sijua kama nitakuwa nadakia jambo nisilolijua vizuri ila kuhusu hali halisi la academics qualifications kuwa feki au laa serikali bado hajafanya jambo lolte to stop this. Hii inatokana na ukweli kuwa walio wengi na wenye madaraka nchi hii ni vihiyo sana kuna mwanaJF mmoja...
Jamani mimi sijua kama nitakuwa nadakia jambo nisilolijua vizuri ila kuhusu hali halisi la academics qualifications kuwa feki au laa serikali bado hajafanya jambo lolte to stop this. Hii inatokana na ukweli kuwa walio wengi na wenye madaraka nchi hii ni vihiyo sana kuna mwanaJF mmoja...
Kifo,
mie nimekuelewa vizuri inaelekea unataka cv zao kwa kucheki maovu hasa ili yajulikane manake umeanza kwa kutoa maovu kidogo. Kaka/dada mie nina usongo na huyo Kamuzora. Hivi insurance industry inafanya nini kwa taifa hili?? Kwa taarifa yako huyo jamaa hana shule kabisa na inasemekana...
HIVI SERIKALI HAIJAMCHOKA TU HUYU MAIMU NA MIRADI YAKE MIBOVU YA ICT PALE UTUMISHI WAKISHIRIKIANA NA SAWE. HAWA JAMAA WANADIDIMIZA ICT NA KUIFANYA IONEKANE NI KITU KIBAYA KATIKA MAENDELEO YA NCHI KWANI WAMEANZISHA MIRADI YA MA-ICT SPECIALIST AU EXPERT AMBAO WALIWAPATA MTAANI KWA KUJUANA NA...
Habarini za Baraza jipya wanaJF,leo nataka niwaletee habari ya Masha na watoto wa Lowassa waliandaa sherehe ya kumuaga au kama sio kupongeza mzee wao mpendwa na fisadi. Majuzi sherehe hiyo iliandaliwa mahususi kumpongeza kwa kufisadi watz for two years!! Ilikuwa kama ni kulipiza mapigo ya ile ya...
hayo ni ya kweli tupu na sio hao tu kuna kina Happiness wa Multichoice wote hao wanalia sasa,ndugu yangu jamaa alikuwa fisadi mpaka katika mapenzi kwani amekula mpaka visivyolika wakisaidiana na mkewe...kama wana kale kaugonjwa mbona kazi ipo!!!Ndesa na Ole Sendeka walijua kwanini anyongwe!!
Mama huoni aibu,mapesa yote uliyokuwa unahonga vijana ili wakustareheshe huyakumbuki!!??Shetwaini wa kike usiye hata na chembe ya aibu kwa mwenyeziMungu!Inasikitisha sana kuona hata mke wa Lowassa alikuwa typical fisadi...tena walikuwa wanasaidiana na EL kufisadi hadi mapenzi.China iko wapi...
Huwezi ukaamini ndugu yangu kumbe Lowassa alianza haya mambo siku nyingi na ndio sabab Nyerere alikuwa hamtaki. Inasemekana Lowassa aliagiza transformer iweke pale PPF Tower pasipo ridhaa ya wenye jengo wa Tanesco ili ihudumie dry cleaner ya mtoto wake!Hivi jamani jk haoni kuwa yuko na mtu...
Mtawala wa forum hii na wote kwa ujumla napenda kuwapa mada hii iwe kama ni ushahidi mojawapo wa sakata la BoT. Hili suala la watoto wa vigogo kuajiriwa Bot si la uongo kwani
1. Rogers Sumaye alipata ajira hata kabla hajamaliza shule Uk kwani kuna watu walianza kufanya interview za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.