Search results

  1. N

    Hivi huyu Directo wa TIC ana matatizo gani?

    Director wa TIC Ms.Kairuki ina semekana ana nyanyasa wafanya kazi bila kujali....hata Kama ana ni matatizo ya kuuguliwa ghafla kwa watoto na pia ana kauli chafu sana...Hebu wanao mfahamu vizuri watueleze...
  2. N

    May be this is the kind of presi..debate we need...funny...educational...b rilliant!!

    These are Swahili student in the US in a Presidential Debate....It is funny, but simply brilliant. These kids did their homework well.
  3. N

    Rais Kikwete ameshindwa kuitetea Katiba! Je, sisi wapagani tunawekwa wapi?

    Serikali haina dini ila ina wajibu wa kikatiba tutetea na kuhakikisha kila mtu ana haki ya kuabudu dini aipendayo. Katika swala la kuchinja...Watanzania wengi wamekua na desturi ya kuheshimu dini za watu wengine kwa kuwaachia wachinje haswa wanapokua waalikwa katika chakula husika. Mimi...
  4. N

    PICHA: Mkutano wa Waislamu Mtwara wakipinga gesi isiende Dar es Salaam (leo)

    Tuchukue hatua moja nyuma na kujiuliza mambo machache. Kwanza; hili suala la gesi,tuseme inabaki Mtwara je Mtwara watafanya nini nayo? Lazima kuwe na mpango maalumu wa kutumia gesi, kama kuzalisha umeme kwaa jili ya kusambaza nchini na matumizi ya viwanda. Kitukingine ni kuandaa watu wenye ujuzi...
  5. N

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    It's a copy and paste from Bunge website..Angalia link ya hapo juu. Nadhani sija post hii kitu vizuri!
  6. N

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    Clue..."Tanzania is the Union of Zimbabwe and...."
  7. N

    Vodacom kuwaburudisha wabunge ijumaa hii!!

    NDUGU ZANGU, HILI SUALA MNALIONAJE MAANA NAONA SASA “LOBBYING” INACHUKUA PICHA TOFAUTI KABISA KATIKA NCHI YETU. GHAFLA INAYO ANDALIWA NA VODACOM KUHUDHURIWA NA WAZIRI MKUU AMBAYE NAFASI YAKE KATIKA SERIKALI NA BUNGE INAELEWEKA, SPIKA WA BUNGE, MAWAZIRI NA WABUNGE...
  8. N

    Unataka kuoa uchagani?

    Mona nkyoki kikutiri? Pole pole basi utamtisha sana hata hata taka kujaoa hai
  9. N

    Another Joke from Kikwete: Every student to have computer in five years time

    What he said was an inslult to all Tanzanians, There is no electricity, books, madawati and most can not even afford to pay for their primary education. It is a shame to the country and to all of us. This is the problem of having a president with no Vision of where he wants to take the country...
  10. N

    Kwanini Watanzania na Tanzania ni masikini pamoja na rasilimali (resources) tulizonazo?

    Greatings to my fellow country men and women. Today i would like to recomend a documentary that explains some of the reasons why Africa and other poor countries will continue to be poor. Please watch this movie and let us brain storm on the situation. The End Of Poverty Some of what they are...
  11. N

    Gunfire and Bombs explode in Kigali

    I think we need to slow down on that EA thing. We might find our self in some crazy $%^!!
  12. N

    US Naval Bases In Africa (AFRICOM): Sababu, Pingamizi, Faida na Hasara

    sasa tunajua sababu ya safariya Bush nazile dola 758 millioni kwasababu nchi zote za Afrika magharibi walikataa. Kazi ipo!!
  13. N

    Jamani Muangalieni Huyu Nesi Mkenya

    I hope some one will check his kids to make sure they have not been abused. Pole kwa walio tendwa mabaya. These kind of people do not deserve to see a day of light out.
  14. N

    Mauaji ya Albino: Kushindwa kwa serikali?

    Mimi nawaambia serikali inacheza! Inabidi watu aandamane kutaka hatua kali zichukuliwe. Nilishasema inabidi kunyonga watu kadhaaa adharani ili jambo litaisha!!! Mimi naona raisi anacheza, inabidi ku-push ili hawa watu wahukumise haraka sana.
  15. N

    Idi Amin Dada: Mazuri na Mabaya ya utawala wake

    Unayo sema ni kweli. Swali ni hili, tunamiliki jengo la ubalozi wetu Marekani "DC"? Kama hatumiliki, kwa nini tusi nunue maana bei imeshuka karibu kwa asilimia hamsini? Ooooh! Nmesahau viongozi wetu hawajui kinachoendelea duniani.
  16. N

    Vicky Ntetema ajificha baada ya ripoti BBC

    Nadhani wakati umefika wakuanza kunyonga watu hadharani ndio hili swala litaisha!!!! I am not even jocking!!!! Ukikamata na kunyonga watu wawili watatu nadhani mambo yatakua safi tuu!!!
  17. N

    Mafisadi Waachiwe!

    Nadhani itakua vizuri kuwafunga na kuchukua malzoe ambazo zimepatikana kutokana na ufisadi huu. Nadhani kwa watu walosoma sheria kuna hukumu zinazo tolewa ili iwe mfano kwa watu wengine. Nadhani hili linahitajika sana sasa hivi. Kitu wanacho weza kupewa labda ni kupunguziwa hukumu kidogo labda...
  18. N

    Tanzania rejects EAC proposed land reforms

    Nakubaliana na wewe asilimia miamoja nakitu kingine lazima ukumbukee nikwamba, matatizo katika nchizote za Afrika yameanza katika migogoro ya ardhi. Juzi tu wakenya wame kimbizana kilammoja anamwambia mwenzake ondoka katika ardhi yetu rudi kwenu huko...Sasa Nyerere alipo tangaza kwamba ardhi ni...
  19. N

    Tujikumbushe wana Azania

    Hahahha!! Umenikumbusha mbali sana!!!!!!!! Mwaliu Hatibu alimkuta mshikaji amekaa juu ya meza, akamwambia kipindi chote akiwa anafundisha jamaa akae kwenye meza na kuandika kwenye kiti! Halafu hatanii, lasivyo viboko! Mama Mbaga yeye alikua wa Historia, mwalimu safi sana. Binti yake alikua...
  20. N

    Yona na Mramba: Mashtaka na yatokanayo

    Mkapa inabidi achukuliwe hatua vilevile! Tumeona kina Chiluba!
Back
Top Bottom