Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, Tatizo langu nina MB ndogo ninavyojua mimi, Mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikoloji maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale nnapokubaliwa na mwanamke, Namshukuru mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngum sana kuwapata japo huwa sipendi kuwa...
Jamani mwenzenu umri wangu ni 24yr, tatizo langu nina uume mdogo ninavyojua mimi, mpaka nahisi nimepata matatizo ya kisaikolojia maana muda mwingi huwa napata mawazo san pale ninapokubaliwa na mwanamke.
Namshukuru Mungu nimejaaliwa kazi, so wanawake haiwi ngumu sana kuwapata japo huwa sipendi...
Aliyeiloga Computer Science Tanzania naskia naye kalogwa kafa kenya kila siku wanakuja IDEA MPYA, Developers kibao Kenya lakin Tanzania wakitoka vyuo wanakimbilia kuwa mabloggers kutafuta pesa za Adsense hii si hatari jamani nahis hata kulia mtu ana bachelor yupo anamiliki blogger ina Adsense...
Wadau nimetumia cadi za benk mbali mbali kama BankABC, na CRDB bt napata tatizo kuwa facebook hawawezi kukata pesa zao na hivyo kubaki na deni na ads yang kuzuiliwa so naomba yeyote ambaye anatumia hii kitu atufahamishe tafadhali maana nikitumia paypal Naona makato yanakuwa makubwa
Ndugu zangu hapa nilipo hali ya sinto fahamu, jana kwenye pita pita zangu nilikutana na mama mmoja nesi "nadhani" akiwa anawapima watu "presha ya mwili" ilikuwa maeneo ya sokoni na mimi nikavitiwa nikasogea nilipopima akaniambia nina presha 94 mimi ni mwembamba urefu 172cm uzito kama 63kgs ...
Nawaonea mpaka huruma kwa sababu kwa hali inayoonekana Raia hawataki kabisa kusikia neno kushindwa hata kituo kimoja.
Na hatma yao ipo kwa mawakala kwa hiyo mimi naona mawakala wasipokuwa makini wataishi kwa shida sana baada ya Uchaguzi kama alivyosema Sumaye.
Wingi wa matamasha ya Amani kipindi hiki ni kuashiria kuwa mungu siku hizi huwa Huwa anaombwa amani na sio HAKI kama mwenyewe anavyotaka? AU hawa waandaaji nao ni...... #WASAHAU Mungu hatendi kwa maombi yakinaafiki hata siku moja
Ni mgombea udiwani kata ya Shiri matunda amefanya tambiko kwa kuchinja mbuzi na kufanya tambiko la Damu ikachanganywa kwenye pombe ili kila atakayekunjwa pombe ile au Nyama asipompigia kura apite hiv.... MPO HAPO
Naskitika kuona UKAWA hawatolei tamko maneno ya ambayo yalisikika kwenye kampeni za upande wa pili kwamba mkiwachachua nchi itakuwa kama Libya.
NINACHOAMINI ni kwamba UKAWA wanajua wana wafuasi wengi na wapo tayari kwa mabadiliko hawajaangalia kama watu wanatishwa na baadhi yao hasa akina...
Sijui kama kuna mwingine ashapatwa na hili janga? Kuna app niliinstall from unknown ni mara nyingi nafanya hivyo, sasa simu imekuwa ina pop up full screen ad ya adchoice kila mara, nime-wipe simu mara mbili wapi tatizo halijaisha, Nimetumia ad detec app zote playstore zimeshindwa kuigundua hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.