Dishunga
JF-Expert Member
- Jun 11, 2012
- 276
- 58
Naskitika kuona UKAWA hawatolei tamko maneno ya ambayo yalisikika kwenye kampeni za upande wa pili kwamba mkiwachachua nchi itakuwa kama Libya.
NINACHOAMINI ni kwamba UKAWA wanajua wana wafuasi wengi na wapo tayari kwa mabadiliko hawajaangalia kama watu wanatishwa na baadhi yao hasa akina mama ambao ndio wengi wanaogopa wanaambiwa ndio wataathirika zaidi, JE HII NCHI NI SAWA NA LIBYA?
Utawala wetu wa kidemokrasia au wa kidikteta? Je atakaeshindwa akakibali matokeo vita itatoka wapi?
NINACHOAMINI ni kwamba UKAWA wanajua wana wafuasi wengi na wapo tayari kwa mabadiliko hawajaangalia kama watu wanatishwa na baadhi yao hasa akina mama ambao ndio wengi wanaogopa wanaambiwa ndio wataathirika zaidi, JE HII NCHI NI SAWA NA LIBYA?
Utawala wetu wa kidemokrasia au wa kidikteta? Je atakaeshindwa akakibali matokeo vita itatoka wapi?