Haya sasa mateso, tuwe makini na kuinstall app from unknown source

Dishunga

JF-Expert Member
Jun 11, 2012
276
58
Sijui kama kuna mwingine ashapatwa na hili janga? Kuna app niliinstall from unknown ni mara nyingi nafanya hivyo, sasa simu imekuwa ina pop up full screen ad ya adchoice kila mara, nime-wipe simu mara mbili wapi tatizo halijaisha, Nimetumia ad detec app zote playstore zimeshindwa kuigundua hiyo app kuna nyingine zinadai kuwa hiyo app itakuwa inatumia new ad framework, Simu yang sio rooted bado, msaada tafadhali
 

Attachments

  • 1441776907924.jpg
    1441776907924.jpg
    34.2 KB · Views: 774
  • 1441776950578.jpg
    1441776950578.jpg
    42.7 KB · Views: 710
Tecno boom

Kuna case nyingi humu ndani za matangazo na app kujidownload na hizo case zinatoka kwa watu wengi wenye tecno au huawei. Hypothesis nilioitengeneza ni either
1. Hizo app mnazodownload zina exploit something na kuwa kama system app ndio maana ukiformat hakitoki
2. Ni adware ambae kaekwa makusudi na tecno/huawei ndio maana ukiformat hatoki.

Solution so far ambao wamefanikiwa kutoa matangazo ni kwa kuroot na kutoa app wasizozielewa.
 
Kuna case nyingi humu ndani za matangazo na app kujidownload na hizo case zinatoka kwa watu wengi wenye tecno au huawei. Hypothesis nilioitengeneza ni either
1. Hizo app mnazodownload zina exploit something na kuwa kama system app ndio maana ukiformat hakitoki
2. Ni adware ambae kaekwa makusudi na tecno/huawei ndio maana ukiformat hatoki.

Solution so far ambao wamefanikiwa kutoa matangazo ni kwa kuroot na kutoa app wasizozielewa.

Kuna app ambayo ipo kama system app huwa naiona ina responding b4 ad inaitwa battery control na nikitumia ad detector inapata bt ni system app
 
Kuna case nyingi humu ndani za matangazo na app kujidownload na hizo case zinatoka kwa watu wengi wenye tecno au huawei. Hypothesis nilioitengeneza ni either
1. Hizo app mnazodownload zina exploit something na kuwa kama system app ndio maana ukiformat hakitoki
2. Ni adware ambae kaekwa makusudi na tecno/huawei ndio maana ukiformat hatoki.

Solution so far ambao wamefanikiwa kutoa matangazo ni kwa kuroot na kutoa app wasizozielewa.

Mkuu nami nilidownload aplcation from unkown source.. Sasa balaa lililonikuta ni hiki kitu kinaitwa "MonkeyTest" inanisumbua sana.. Nimefatilia nikaona ina uhusiano na "timeservice" ambacho kipo katika downloaded apps.. sasa kila nikiifuta hiyo timeservice inarudi.. Tiba ya hilo tatizo ni nini Mkuu?
Natanguliza Shukrani.
 
mkuu rafki Yangu aliwai kupata hili tatizo nikamtatulia download mtk tools then kuna sehemu unaweka imei yako
 
Back
Top Bottom