Najua siku kama hii waliowengi watapendezewa sana na hii hali ila kwangu ni maumivu..
Jana tulipanga kuonana kweli akaja...kumbe akapitia sokoni akafungasha nyanya,vitu vitu kibao kufika et ooh si unaona niliagiziwa mboga za jion kwahyo nawahi kupeleka...ntakuja kesho..
nikasema sawa mama...
Kuna mzigo nataka niutume kwenda Mwanza,sasa ofisi za precision sizijui zilipo naomba anaejua anisaidie tafadhari.
UPDATE:
Ahsante nyote mliochangia hapa na kunielekeza vizuri....kwan nimeweza kufika vizuri kabsa bila was was na hofu ya kupotea
Nahitaji mwanamke yeyote alie serious kuanza nae mahusiano...kama uko single na unasoma hii post usisite kuni pm au niandikie hapa
mimi_kwanza@yahoo.com
my dream is to be thinker or philosopher wa mambo mbalmbal visible and invisible issues,nadhani my journey inaanzia hapa Jf the home of cognitive thinkers,Naomba mnipokee!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.