Huu mchezo n miongon mwa michezo mingi ninayoifurahia, napenda kwenda kuucheza ama kuutizama hasa nyakat za jion, mahali tunakupokutana hasa ni kijiwen na wadau wake wengi ni wa juu kiumri kwangu, nafurahishwa sana na maneno ya kejeri hasa wakutanapo manguli wa mchezo huu.
Rai yangu kwenu...
Jamani vipi hiki kipind mara nyingi huwa nakitazama Jumatatu saa 21:30 usiku lakini ni wiki ya pili sasa sioni kikirushwa vipi kimebadilishwa muda na siku? Maana ni kipind pekee kinachonifanya niwashe Tv wiki nzima!
Mchango wako ndg, napata shida kidogo juu ya chaguzi sahihi ya reseach tittle ambayo itanipa mwanga ama uwanja mpana wa kufunguka naomba kushare na wewe, kifup nafanya field TRA nahitaj reseach tittle itakayo uwiana na mambo ya finance na accounts.
Asante kwa ushirikiano!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.