Kuna jukwaa humu la ku bet nadhan itakusaidia limeandikwa "wazee wa ku bet"Wakuu polen na mihangaiko ya hapa na pale naomba kujua juu ya biashara ya kubet. Gharama ya kununua mashine na commision yake ikoje ni hayo tu!
PREMIER BET wanalipa 5%unalipwa asilimia 15 ya pesa ya tiketi itakayonunuliwa