Kivuli kitakuwepo pale watakapo mfanya JPM aanze mizunguko ya kampeni bila sababu wakati ushindi ni wa wazi. Na si wawazi tu bali kazi aliyo ifanya JPM kwa kipindi cha miaka mitano na dalili za kuendelea kufanya vizuri zipo. Huyu Jamaa hana rafiki mzembe na mla rushwa. Hawezi kutuangusha. Kwenye...
"Fomu zetu {za kugombea Uraisi) tutachukulia hapa, ila mnaweza mkaamua msichukue mseme Magufuli amepita ili fedha hizo zifanyie kazi nyingine."-Rais Dkt. @MaguguliJP akizungumza na viongozi wa vyama vya siasa kwenye uzinduzi wa jengo la Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
Hayo ndiyo maono yangu...
Kubali au usikubali, ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais haina mjadala. JPM atashinda kwa kishindo.
Busara zingetumika kwa wapinzani wasome alama za nyakati na wakae pembeni ili JPM apite bila kupingwa na fedha za kampeni afanyie vitu vya maana kwa maendeleo ya nchi.
Msionyeshe uwepo wenu...
Somo la kujifukiza ni muhimu sana. Wengi wanajifukiza dawa zikiwa motoni zinachemka. Hii yaweza sababisha kuathirika kwa mapafu. Bado tutasikia vifo vikitokea kwenye fukizo kutokana na hewa ya ukaa. Elimu ya dhati itolewe.
Kanuni ni kumpatia kadi mtu yule ambaye unajua naye akikuletea kadi utamchngia. Yaani rafiki wako wa karibu. Si urafiki wa muda kwa sababu ya kutafuta mchango.
Kwa hali ilivyo sasa, ngoja kwanza waelewane maana ni ngumu kufanya kazi na watu wanounda hilo bunge na wakati umeliita Bunge dhaifu. Hapa neno "Pingu" ndilo lilichafua hali ya hewa zaidi.
Inatakiwa tuwe makini kabla ya kutoa maoni, tujirizishe kuwa hakuna sheria tunayovunja. Haya mambo ya kuongea tu bila umakini yaweza sumbua kichwa sana!
Salaam wana JF.
Tafadhali sana anayejua bunge la bajeti linaisha lini. Na likiisha PAC huwa wanabaki dodoma kwa muda au wanarudi majimboni kwao moja kwa moja.
Salaam kwa wana JF. Hivi mwanamke akijifungua kwa operasheni anatakiwa aanze kukutana na mwenza baada ya muda gani ( yaani kufanya tendo la ndoa) bila kupata matatizo?
Wanakuwa waumini wa kutumainiwa kikweli, lakini kumbuka na shetani siku zote yupo kazini na anawawinda kikwelikweli waumini wa kutumainiwa maana hao ndio maadui zake wakubwa. Na akiwapata anafurahi sana. Sisi binadamu tunajisahau sana na kumuachia shetani atutawale. Fikiria umekuja dar kikazi na...
Nakubaliana na TOWASHI. Ila wewe mdada sisi wanaume tukikutana na nyie mara zote au nyingi kama si ndugu wa karibu huwa ni kuwa-do tu. Hivyo jitahidi kutojisogeza sogeza kwa madume. Kitendo cha kukubembeleza unywe wine ilikuwa inamaana ya jiandaae ni ku-do. Pole sana kwa yaliyokupata na liwe...
JF Doctors
Ninataka nijue kama kuna madhara ambayo mwanaume anaweza kupata kutoshiriki tendo la ndoa wakati alikuwa amezoea kufanya hivyo kwa mara kwa mara na mke wake. Hii inatokea wakati mwanamke amepata ujauzito na mara complication zinaanza na anapewa bedrest na kushauriwa asishiriki na...
Hali hiyo ni ya kawaida kwa wanawake wote. Unajua uke unajisafisha naturally through menstral period. Ukiwa umekutana na mpenzi wako mara tu baada ya kuacha ku-bleed, utakuta utando huo haupo maana damu hiyo inatoa uchafu wote ikiwa ni pamoja layer iliyojitengeneza kwenye uke wake, yai lake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.