Tafiti za kisayansi zinaonesha kuna Mshipa Mkubwa ktk hicho kidole unaokwenda moja kwa moja hadi moyoni,
Hivyo basi ukivaa pete hapo huwa inaunganishwa moja kwa moja upendo yaani
lile agano kwamba hautakaa utoke nje ya uhusiano wako
Na ndiyo maana ukiangalia pete ya ndoa huwa ni duara...
Mwiba hutolewa kwa Mwiba!
Yaani hapo Raisi akiendelea kumwachia Mkoa wananchi wa DSM hawatamwelewa kabisa,
Yaani utaratibu uliotumia wewe uliona sawa halafu kwako unaona siyo sawa.
Acha niendelee na hang over kwanza
Kumbe Le Mutuz hujawahi hata kusoma Sheria Ndugu yangu!
Daah! So sad!
Sheria huwa haisomwi hivyo, Nakushauri We komaa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania https://www.bugando.ac.tz/attachments/Katiba_ya_Tanzania.pdf
_________________________________________________________________...
I understand Mange Kimambi! She always talk sense! Sometimes when you hear something take an extra miles to find out the truth, 90% she speaks TRUTH. I trust her because I found the same information from the reliable sources. So unabaki unashangaa, Sometimes better you stay without trusting her...
hahhahahahahhaha
Hahahhahahahhahahahhahahahhahaahhaahahha
Nimecheka sanaaaaaaaaaaaa!!!!!!
Unakumbuka hesabu za Simu,
Kwa Maneno 10 ya Mwanzo ni shs 500 na kila neno linalozidi shs50, Juma alipewa shs 1200 Je Simu yake ilikuwa na maneno mangapi???
Eti 2X+5=15 swali linakushinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.