Mosquito Repellant ni Android application (inayotoa utrasonic sound zenye very high pich kiasi ya kufukuza mosquito). Sidani kama hii program ina uhusiano wowote na Samsung Company (hata kama imekuja pre-installed), sababu haijatengenezwa na Samsung na simu yoyote unawezaitumia nayo kwa...
Rjohn, Labda ungeongeza maelezo ingesaidia ku narrow down.Nnazozijua kulingana na maelezo yako kuna:
Runaway Train - Hii ni ya mwaka 1985 kacheza Jon Voight
Unstoppable - Ya 2010 kacheza Denzel Washington
Money Train - Hii kacheza Wesley Snipes, ni ya mwaka 1995
Cassandra Crossing - Hii ni ya...
Inabidi uwe na smartphone, pamoja na app ya kuscan barcodes, then ukiifungua hiyo app ukiscan QR_CODE ya Mzee Mwanakijiji hapo, unapata message ifuatayo:
rockcitym@gmail.com
Agiza Nakala yako sasa
Agiza nakala ya kutabu cha "Majeruhi wa Mapenzi"
Riwaya ya M.M. Mwanakijiji. Mitaani kitauzwa kwa...
Picha hii nimeipiga kwa kutumia Nikon D7000
Settings zilikuwa: 1/60 sec at f/5.6, ISO 100 Tamron Lens 200mm (28.0 - 200.0mm f/3.8 - 5.6)
Baada ya hapo nikaiongeza logo ya Patek Philippe na signature yangu.
More photos @ Ishe Photography
lara 1, karibu JF.
Nakumbuka nilichangia thread ya Marketer kuhusu hili. Naomba nikwambie ogopa mtu anayekusifia hata unapoharibu, huyo hakutakii mema. Ukitaka maendeleo siku zote ni muhimu kuaccept white and black kama zilivyo, hiyo inakupa challenge ya kurekebisha na kuendelea mbele.
Inabidi...
SnowBall, inabidi ufanye maamuzi yenye busara na ambayo hayatakuja kukuletea tabu huko mbeleni. Huyo mchumba wako, kabla hujamuoa inabidi ujiridhishe na uaminifu wake kwenye mambo yanayohusiana na pesa. Hiyo scenario yako imerise some "red flags" ambazo unawezakuwa hukuwahi kuziona kwenye...
Virus can infects CD or DVD only when we are going to write some information into that CD or DVD. Virus can not infect CD or DVD when we are going to read the information in that.
That being said, depending on the virus, if the virus was also burned in the CD, it is possible that it may be...
Baba Kimoko, ni kweli u mgeni. Vipi kuhusu Avatar ya kike na wewe ni Baba Kimoko? BTW, thread yako si ya kisiasa. Inaonekana kuhusika zaidi kwenye jukwaa la utambulisho au chit-chat.
Naipa 4/10
Kwanini?
1. Ukiifungua hiyo blog, haina utangulizi wowote kuonyesha kuwa blog inahusika na nini hasa.
2. Picha zilizotumika zina very low resolution.
3. Sijaona original content ukiachilia texts, picha zote zinaonekana ni copied from other websites na baadhi ya picha zina copyright...
1. The Morris worm
In 1998 Robert Morris, a university student, unleashed a worm which affected 10 per cent of all the computers connected to the internet (at the time the net was estimated to consist of 60,000 computers), slowing them down to a halt. Morris is now an associate...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.