Mzee wangu nakuheshimu sana, na nimekuwa mwanafunzi wako mazuri sana tangu nijiunge hapa jf, yapo ambayo tumekubaliana kimtizamo yapo ambayo tumetofautiana, all in all nakushukuru sana, una maarifa mengi sana kichwani mwako kuhusu historia ya taifa letu, nikuombe uyaweke kwenye maandishi...
Yule na Kiduku sijawahi kuwakubali, wanazipenda ngumu ila ngumi hawazijui, wajaribu shughuli nyingine inatosha, ata yule japhet maganga aliyepigwa na yule dogo wa mbeya, naye hamna kitu ajaribu shughuli nyingine, a boxer must possess fighting skill, sio kumvaa vaa tu mpinzani wako, na hapa ndio...
Kiukweli jini makata alipigwa, yule dogo ana skills sana, style na jini makata na Kiduku ni moja, hawana fighting skills just kuvaa tu mtu, sasa akikutana na bondia mwenye skills kama bwana mdogo lazima udhalilike.
Si mtetei ila naamini kuna ishu ya collective responsibility, ata kama hauhusiki moja kwa moja ila kwa kuwa yamefanyika chini ya uongozi wako unalazimika kuwajibika.
Hii vita haina ata chembe ya udini within rather economic reasons, suluhisho sio military intervention bali mazungumzo, pande mbili zinazohusika ni lazima zikae chini.
Kiukweli morali ya timu yetu ipo chini sana, pamoja na mambo mengine timu inatakiwa kujengwa kisaikolojia sana kwa sasa, tupo katikati ya msimu hatuwezi kuunda timu mpya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.