Simba walianza way back 1993 kupambania haki baada ya Stella Abidjan kuchezesha wachezaji ambao hakuwa kwenye orodha ya usajili.
Kama umeanza kufuatilia mpira juzi, sio rahisi kujua Umuhimu wa Simba katika Soka la Tanzania barani Africa.
Mtu anaye dhihaki huu mradi, ni mtu wa ajabu sana. Sijui lini Watanzania tutatoka kwenye lindi la Ujinga.
Swala la mafuriko ni force-majure, huwezi kutoa lawama moja kwa moja kwa mradi, wakati hata Kawe mafuriko yalipita na watu wakapoteza maisha.
Kwa akili ya kawaida, mradi kama ule hauwezi...
Nikifikiria hii mifumo PEPMIS, NeST MUSE. aisee kama nchi bado tunasafari ndefu sana.
1. Watumishi wanatumia muda mwingi kuingiza kwenye mfumo taarifa zao za utendaji kazi badala ya kufanya kazi
2. Mfumo wa manunuzi ya tender hauko compatible, watumishi wa manunuzi wanalalamika mfumo kuwa...
Kwani akitoa kafara, fedha zinatoka Benki Kuu ya Tanzania zinaingia mfukoni mwake?
Sijawahi elewa mada za aina hii!? Bila kufanya kazi, unapataje fedha??
Mkuu, me nina jiran yangu hapa, kila mtu anafamilia yake, dah! huyu mwamba hata tukutane maeneo ya viti virefu, mwamba kanuna tu.
Mwanzo ni nilijitahidi kumaintain ujiran mwema bado ikashindikana, nikaona isiwe tabu, kila mtu aishi kivyake!
Mkuu, binafsi naona sio sahihi.
Jirani yako kabisa anakununia bila sabab,mnapishana utadhani mnaugomvi?
Alafu akipata tatizo huyo huyo anakuwa wa kwanza kuomba msaada kwa jirani zake asio wasalimia au kuongea nao.
Mtoa mada nadhani umeniwahi, nami nilikuwa njian kuandika post kama hii! Hili...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.