Natafuta programu itakayoniwezesha kuchora,mfano katuni moja kwa moja kwa kutumia kompyuta.
mwenye kuijua anijuze wapi naweza ipata.
natanguliza shukrani
miaka mingi nimekuwa nasikia kwamba mtu akioa mchaga lazima atajenga kwanza uchagani, je kuna ukweli kuhusu hii hoja.kama kweli basi dada zetu wanajua mapenzi.
Narudia tena kwamba chama tawala wasome alama za nyakati na kukubali yaishe kwa kuteua Lowassa awe mgombea wao wa 2015 vinginevyo hawataamini kitakachotokea. nasema hivyo sababu huyu mjomba keshapanga safu yake karibu kila kona ya uongozi ndani na nje ya chama na keshafanya matumizi ya kutosha...
kwa kweli bado natafakari kauli aliyoitoa bosi wa TAKUKURU juzi kati kwamba "anayejifanya ana uchungu na nchi hii kuhusu tuhuma za mabilioni ya uswisi apeleke ushahidi ili wafanyie kazi". kwakweli kauli kama hizi zinaashiria kwamba sasa nchi haina mwenyewe maana polisi anataka apelekewe...
wanajamii naomba mfanye uchunguzi kwanini mamiss wa bongo siku hizi hawapendi kutumia majina ya ubini
ya kilugha. asilimia 80 ya mamiss wanaficha majina yao ya kilugha. je ni kufagilia uzungu ama ndo wanahisi wakienda mbele wataonekana wenzao?.
naomba yeyote anayezifahamu sheria za usalama barabarani tanzania anijuze,maana nimeangalia katika mtandao sijaona kitu cha maana. je zipo wazi ama zinafichwa? ili ulaji uendelee?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.