kinyanyamba
Member
- Apr 10, 2012
- 96
- 13
kwa kweli bado natafakari kauli aliyoitoa bosi wa TAKUKURU juzi kati kwamba "anayejifanya ana uchungu na nchi hii kuhusu tuhuma za mabilioni ya uswisi apeleke ushahidi ili wafanyie kazi". kwakweli kauli kama hizi zinaashiria kwamba sasa nchi haina mwenyewe maana polisi anataka apelekewe muhalifu?, tena ikiwa unajifanya una uchungu na nchi? so kama huna uchungu na nchi POTEZEA. DUUUUUUUUUUUUU