Nimejenga Maswali Hapa: Mungu Ilimpendeza Wanyama Wawe Wawili Wawili, Kwa Nini Alimuumba Adamu Peke Yake Kwanza? Lengo Lilikuwa Nini? Pili Kwa Nini Ukweli Wa Lilith Ufichwe? Na Wakati Mungu Ni Mwenye Upendo, Anasema Kweli Itakuweka Huru. Wana Theology Fafanueni Hili.
Masikini Dah! Falsafa Ya Mwanzilishi Wa Jukwaa HiliNi Ushauri Wa Kitaalamu, Kisaikolojia Na Tiba. Tafakari Kabla Ya Kujibu. Kuna Watu Wanajinyonga Kwa Tatizo Hilo, Watu Hawa Wajengwe Kisaikolojia Kuhusu Fore Play Before Penetration, Pamoja Na G-sport Location, Then They Won't Worry About Penis...
Habarini Za Majukumu Wakubwa? Ninaomba Msaada Wa Kitabibu. Nimekuwa Na Shida Ya Sikio Moja Kuziba Mara Kwa Mara Kwa Nta.
Nimesafishwa Mara Tatu Sasa Hospital Kwa Njia Irrigation. Naomba Wadau Kueleweshwa Tatizo Ni Nini?
Na Tiba Ya Kuzuia Sikio Kutoa Nta Iliyopita Kiasi?
Thank You In...
Samahani! Kwa Hilo Hata Waislam Mwakaribishwa Dah! Ckujua Kama Nitawanyima Nafasi Kiasi Hicho. Naam Mapenzi Ni Majani Popote Huota Hayajali Rangi Dini Wala Kabila. Ni Fasiri Ya Nidhamu Na Mapendo Kwa Wale Wapendanao.
Nahitaji mke mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 33. Awe mkristo, elimu f6 na kuendelea. Awe na mwili wa wastani.
Kama una nia ya dhati ni pm tafadhari tuongee zaidi.
Poleni nduguzanguni kwa ujambazi huo wa PSPF. Wakopeshaji wote wapo kwa ajiri ya kujinufaisha wao na si kuboresha maisha ya mkopaji. So! tutumieni akili na maarifa tulopewa na Mola kujikwamua kiuchumi.:bange:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.