Yah! Kweli dem kazimia...ila ishi ni madaraja yaliyokithiri tz. Huyo kapata m20 kazimia wakati mwingne katoa m17.7 ili kuwapa mshindi wa pili, tatu na washiriki wote waliobaki...
nawachukia wale wote wanaoona kama jamaa ana wivu kwa jamaa yake kupata kazi akati yeye anajaribu kuelezea hali halisi ilivo na ndivyo ilivo kiukweli..watu mjaribu kuelewa aseee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.