Itakuwa ni window ina-update. Itabidi ukasimamishe zoezi la kupokea update na ku-install yenyewe na uruhusu kwa wakati utakao.
Lakini, hizi update za window nazo ni muhimu sana kwani huboresha utendaji wa computer na softwares zake kwa ujumla.
Ndiyo maana kwa utendaji wa sasa ni vizuri kutumia...
Nadhani siku hizi watu wa Sinza ni kama wamekuwa wanapenda bar za indoor, hizo ndizo zimekuwa mashuhuri kuliko za wazi.
Hivyo, unaweza kudhani hazipo, ila zimejifungia ndani. Hata Kitambaa Cheupe imewaweka ndani wateja wake.
Ova
Shida ya Kaburu ni ile tabia ya kuuza mechi, na rafiki yake Aveva. Kassim ni shida sana, kaitafuna sana Simba kwa lile jengo la pembeni pale.
Wakati wake wa mkataba wa jezi alikuwa anawapa Simba kati ya miliono 250 hadi 400 tu kwa msimu mzima. Anasingizia piracy kila siku.
Ova
Kwa hali ya mpira wa Tanzania ni kama inabidi iwe hivyo. Si unaona GSM kashajipanga kwa hilo, mwakilishi wa wanachama (Hersi) ni staff/ shemeji yake.
Ova
Kuna wakati nilikuwa nikitamani kuona threads za michezo zikiwa zinaandikwa kwa weledi namna hii, bila kujaza unazi na ushabiki.
Hongera sana Nifah, umelipa heshima jukwaa na michezo. Umeandika vizuri sana na kufafanua kwa kina hadi nikasahau kama wewe ni Yanga.
Ni kweli Simba tuko kwenye...
Hapo unazungumzia taarifa inayotolewa kwa jamii kupitia media huwa hivyo, kuwa klabu imeamua kuboresha.
Ila kabla ya hiyo taarifa huwa kuna kudai hayo maboresho hadi kuafikiana waboreshe kwa kuongeza kiasi gani.
Mshahara bora huwa unadaiwa comrade, hautolewi tu. Ukitaka kuelewa nisemacho...
Mshahara siyo hisani, unapewa uliokubaliana upewe. Hata angetaka asilipwe, Yanga isingemlipa. Elewa taratibu za ajira.
Na hivyo anafanya kazi vizuri, maana yake unamtosha sana mshahara anaolipwa. Akitaka mkubwa atadai apewe mkubwa.
Ova
Kwa nijuavyo Watutsi ni tabaka, siyo kabila. Na ndani yake ndiyo kuna hayo makabila. Ni tabaka ambalo asili yake ni Rwanda.
Na tabaka hilo limesambaa katika nchi za DRC, Tanzania, Rwanda na Burundi kwa miaka mingi.
Na sababu ya kusambaa kwao ni magomvi ya mara kwa mara na tabaka jingine la...
Ndugu zangu,
Kuna kitu hapa tunapaswa kuelewa, kila mshahara anaolipwa mtu huja baada ya maongezi na makubaliano.
Kama mshahara wa mtu ni mdogo au mkubwa uliotokana na makubaliano aliyofanya na mlipa mshahara huo.
Guede kaijua thamani yake na akadai mshahara kulingana na thamani yake kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.