Dah! Poleni sana ndugu zangu kwa hiyo changamoto kubwa iliyowakuta. Waambie wajaribu kumtafuta huyu +255620898989.
Hana shida anaweza kuwapa mwongozo wa changamoto yao na kuwatoa wasiwasi.
Ova
Makamu wa Rais wetu ni cheo cha kisiasa, ila hakina mamlaka. Ndiyo maana hawatengui uteuzi na wala hawateui.
Pia, ieleweke kubwa Rais anapokuwa mgonjwa, ndipo ratiba ya kazi ya Makamu wa Rais huongezeka zaidi ya awali, za kwake na za Rais.
Majukumu ya nchi lazima yaendelee, maana maelezo yako...
Kwa wafanyabiashara wanaweza kuelewa msongo wa mawazo ambao Babu Rama alikuwa akipitia kwa huo muda mrefu kutokana na mwenendo wa biashara.
Kikubwa hapo si deni analowadai TRA, kwani hao mabwana hata wakikubali kukulipa hiyo fidia, itakuwa ya mtindo wa msamaha wa kodi wa thamani ya kiasi hicho...
Wala sijasema kwa sababu ni shabiki wa Simba, na wala siwalaumu Yanga hata kidogo. Haya mambo ndiyo utamu wenyewe wa ushabiki wa soka.
Ujanja wa ndani na nje ya uwanja wa kugusana panapouma, ndiyo tofauti ya soka ba michezo mingine. Iwe kwenye usajili au kwenye mechi zenyewe.
Yanga waliwahiwa...
Rudia tena kuisoma hiyo taarifa Mkuu, hiyo imekaa kwa mtindo wa kama kumkomoa Dube alazimishwe kwenda asikopataka.
Hapo kwa timu hizo mbili chaguo lake ni Simba tu, kwa sababu Dube hawezi kuwa tayari kwenda kucheza vitani hata iweje.
Na kwa kuwa Yusuph Bakhressa ni mwanachama wa Simba, hiyo...
Ukuifikiria uwekezaji uliofanywa na marehemu Mrema kwa namna ulivyokuwa kabla ya kuanza kwa serikali ya awamu ya tano, unaweza kutokwa na machozi.
Aliahidiwa mbele ya macho yake kuwa zitavunjwa zote, na leo naona ahadi inazidi kutimia lakini kwa wakati ambao waahidiana hawako tena kwenye uso wa...
Umefafanua vizuri mkuu, ni kama Joe hauzi frequency kwa bei yoyote, kama ukizitaka mgawane umiliki wa hiyo redio.
Hata huyo SSB ni hizo UFM na UTV ndizo zimeanzia hapo TZ, nyingine zimeanzishiwa kwingine huko na TZ zimekuja kuruka tu kwa kisimbuzi.
Ova
Kila mkoa una idadi ya frequency, kama zikishajaa basi unalazimika kwenda mkoa mwingine. Ndiyo maana akina Mjini FM wanapitia kwingine na ofisi ziko Dar.
Hapo nyuma kuna mtu mmoja, ambaye ni mtoto wa aliyekuwa kigogo JW, alianzisha redio ya dini na alilazimika kutumia Frequency na Bakwata ili...
Kwenye kuhabarisha ni lazima ubishi uwepo kwa kuwa hii siyo taarifa ya press conference, bali ni taarifa ya kuchimba.
So, ni kama ilivyokuwa na Thomaso alipopokea taarifa za Yesu, alianza kwa kubisha hadi Yesu alipomtokea ndiyo akaamini.
Na habari ikiwa haisababishi mjadala wowote (ubishi ni...
I love it! Huu ni udaku pro b..., details zilizopo humu zinakufanya uwe kwenye dunia yako kwenye habari za udaku mtandaoni.
Hii inawezekana kwamba Nassib anataka madeni kodi yalipwe na Joe, kwani yeye analipa gharama za kila siku za redio.
Na kwa miezi kama minne hivi mishahara ya watumishi...
Labda kabla ya kuuzwa ndiyo huwa mali yao, lakini zikishauzwa huwa ni mali ya aliyezinunua.
Ni kama shati ukishalinunua ni lako siyo ya la aliyekuwa akiliuza. Na watu kadhaa wamenunua, frequencies ni za kwao.
Ova
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.