Muda mwingine muwe mnasoma alama za nyakati. Mtu anakwambia hana future na wewe. Unambebea mimba hata Mzee wangu pale msoga alishasema hivo ni viherehere vyenu.
Boss serikali ya sasa waziri lazima uwe mtendaji. Sio kama ulivokalili kwamba waziri ni siasa. Lazima ujue unaends kusimamia nini katika hiyo sekta. Sio unachagua chagua hata vimada katika sekta nyeti unategemea maendeleo kwa sababu ni nafasi ya kisiasa. Na kuhusu kuteuwa ni matakwa yake...
Mambo ya mchakato, mkakati, utaratibu, kanuni na sheria.. Kwenye maendeleo hauna tija. Tunataka maendeleo hiyo michakato hizo sheria unazozisema zimetusaidiaje mpaka sasa?!!
Ngoja nikujibu sasa..
Huyo contractor alishapatikana ilikuwa tatizo pesa ili aanze kufanya kazi.
Kama nj nonsense. Ebu tuambie wewe mchumi wa first class njia zipi za kuongeza mapato?? Ili kuleta ufanisi katika utendaji na maendeleo ya nchi kwa ujumla.. Unabaki una lalamika tu sijui mfanyiwe nini ili msilalamike.
Samahanini wakuu Mimi na Sony Expedia z3 sijapata internet kabisa. Sijui settings zake natumi a line ya Airtel nisaidieni wakuu.. Ni imported from US msaada plzz
Nataka ninunue Sonny experia lakini mm sio mtaalamu na hizi simu.. Nimeipenda experia na budget yangu ni 650000 je ni aina gani ya experia itakuwa nzuri kwangu na maduka gan
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.