Tatizo kubwa wabongo tunachagua kazi, kuna kaka mmoja namfahamu alikuwa na degree yake, alitafuta kazi mpaka akachoka, then akaenda kuomba kazi ya ulinzi akapata, and now ni project manager na mshahara wake mzuri tu, hata mkifuatiria karibu makampuni mengi yenye security managers/assistants...
Poleni na majukumu ya hapa na pale.
Naomba msaada kwa yeyote anayejua wapi naweza nikapata Statistics za matokeo ya mitihani ya secondary school O-Level kuanzia mwaka 2010 - 2013 anijuze, ili niweze kufanikisha research yangu ya shule.
Mbarikiwe sana!:A S-heart-2::A S-heart-2:
Nakubaliana na wewe kabisa, nlishawahi kuachwa mwanza na watu kibao eti ndege imejaa! Nikajiuliza hawakujua hilo wakati wanauza ticket au ni tamaa ya hela!
Huu msemo wa "FAINALI UZEENI" mtu ukikaa ukaufikiria vizuri na maana yake, unasaidia sana maishani, mie unanipaga nguvu sana ya kufanya ninalofanya kwa bidii, iwe kazi au kusoma! Hata wadogo zangu wakichezea maisha naishia kuwaambia "FAINALI UZEENI" that's all you don't need to talk much...
Once you find symptoms of CCMonia sickness,immediately swallow Chademaquine tablets U will be cured.Chademaquine tablets are all over the country.If illness persist consult Dr.Slaa..!
Who said gentlemens are stronger than ladies? Can they bleed 4 a week and survive, can they squeeze a 14 inch kid from a few cm hole, can they lov someone and keep quite, can they cry all nyt and wake up in the mornin lyk nothn is wrong, can they witnes the lov of their lives ending up with...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.