Ruth Kamande has just been crowned Miss Lang'ata Prison
Ruth Kamande, who came to the limelight last September for allegedly stabbing her lover 22 times, was crowned the most beautiful woman at the Langata Women's Prison on Wednesday.
Her dashing beauty awed the judges leaving them...
jamani, kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na kuzagaa kwa hiki kitu wanaita "mafunzo ya ujasiriamali" hapa tanzania. unakutana na mtu ambaye hana mafunzo yoyote ya namna ya ku-handle kemikali anakusanya kikundi cha watu na kuanza kuwafundisha namna ya kutengeneza sabuni za unga, sabuni za maji...
Wakuu,
Mimi nina jamaa yangu tulikuwa tunakaa naye Kimara mwaka 2006 kabla sijahama alienda zake Canada mwaka 2011 kusomea saikolojia akakaa huko miaka 5, na tangu arudi sasa ni miezi miwili.
Mpaka ninavyoandika hapa washkaji kitaa wanatamani hata kumpa pesa nyingi ili aondoke pale kwao Kimara...
baada ya kutoka safarini nikiwa mchovu sana, nilijikaza mpaka kufanikiwa kuhudhuria mazishi ya baba wa rafiki yangu ambaye ni luteni kanali mstaafu wa jwtz (upande wa jkt) yaliyofanyika katika makaburi ya chang'ombe maduka mawili jana 24-04 2016, ndipo likanijia wazo hili la "kwa nini wanajeshi...
Mara nyingi namna ujasusi unavyotekelezwa katika dunia halisi ni mara chache sana hufanana na zile television movies za hollywoods kama James Bond, Tom Cruise na wengineo.Ila ujasusi bado inabaki kuwa moja kati ya njia muhimu na hatari sana zitumiwazo na serikali zote duniani katika ukusanyaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.