Search results

  1. activisty

    Watanzania na maisha ya mpira ndani ya uwanja

    Nianze kuandika waraka huu mfupi, kwanza kwa kuweka bayana ufafanuzi halisi wa kile ninacho kusudia kufikisha kwenu wana jamii na Watanzania wote kwa ujumla ambao mtapata nafasi ya kukutana na ujumbe huu popote pale mlipo. Katika waraka huu nitakwenda kuzungumzia mambo yanayoendelea hapa nchini...
  2. activisty

    WATANZANIA NA MAISHA YA MPIRA NDANI YA UWANJA

    Nianze kuandika waraka huu mfupi, kwanza kwa kuweka bayana ufafanuzi halisi wa kile ninacho kusudia kufikisha kwenu wana jamii na Watanzania wote kwa ujumla ambao mtapata nafasi ya kukutana na ujumbe huu popote pale mlipo. Katika waraka huu nitakwenda kuzungumzia mambo yanayoendelea hapa nchini...
  3. activisty

    Salamu kwa UKAWA na ACT Wazalendo bungeni

    Nianze waraka huu mfupi kwa kupeleka ujumbe(salamu) wangu kwa vyama halisi vya upinzani CHADEMA,NCCR,CUF na ACT Wazalendo kuhusu yanayojiri Bungeni.Niseme tu kuwa nimekuwa nikifarijika na hoja zenu nzito na za msingi zinazogusa na kuifariji jamii ya watanzania ambao wengi ni masikini. Niweke...
  4. activisty

    Profesa Lipumba aomba kutengua kujiuzulu kwake Uenyekiti CUF

    Tanzania limekua taifa la huruma sana na huruma ikizidi huwa dhambi. Wanasiasa wametufanya wananchi tuwe na fikra na maamuzi ya huruma. Tunawaamini tunawachagua, wanatugeuka, wanarudi kwa kupitia sura ya vyama vingine au mitazamo mingine, wanaomba msamaha, tunawaamini tena, tunawapa nafasi tena...
  5. activisty

    Simamisha na kufukuza, je ndio kipimo cha uongozi bora?

    SIMAMISHA NA FUKUZAFUKUZA JE NDIO KIPIMO CHA UONGOZI BORA? SHERIA ZISIPOFUATWA TUTAJENGA TAIFA LA CHUKI NA HOFU. Nianze waraka huu mfupi, kama salamu zangu kwa serikali ya awamu ya tano ya chama cha mapinduzi na kwa watanzania wote kwa ujumla. Ni wazi kwamba sasa idadi ya wafanyakazi wa umma...
  6. activisty

    Mjomba jitathmini upya, Urais si lele mama

    Muda ndo kitu muhimu na cha msingi sana.lakini muda ndio huo ashapewa na bado dalili hazielekei kule kunakohitajika. Binafsi nitaendelea kusema hadi hapo nitakapoona neema...
  7. activisty

    Mjomba jitathmini upya, Urais si lele mama

    Katiba mpya si suluhisho.tulishaona kilichopatikana kwenye Bunge maalum la katiba kikaitwa katiba inayopendekwa sasa sjui kama kuna jipya pale ama kama kuna suluhisho...
  8. activisty

    Mjomba jitathmini upya, Urais si lele mama

    Una watoto wanne juma, hamisi, samia na hasani. Juma ana familia yenye jumla ya watu 3, ambao ndio wanamtegemea yeye, hamisi watu 4, samia 7 na hasani 12. wote wana kipato lakini vipato ambavyo si sawa. Na msaada wanaohitaji toka kwako ni tofauti. Juma yeye anahitaji kiasi fulani tu toka kwako...
  9. activisty

    Mjomba jitathmini upya, Urais si lele mama

    Nilishawahi kusema hapo awali wakati wa Jk kwamba uraisi si lele mama.Na sasa narudia tena wakati huu wa Mjomba Magu, na ninaomba wanajamii na umma kwa ujumla utambue Kinachonituma, kusema haya ni uteuzi wa wakuu wa mikoa, amri yake katika kuwaapisha(amri kwa maana ya hotuba)uchaguzi wa zanzibar...
  10. activisty

    CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka

    Hatuna jeshi la polisi, hatuna ulinzi, hatuna amani, sio zanzibar tu bali Tanzania yote. Kilichopo ni tawala za mabavu chini ya vikosi ya ulinzi wa mabavu hayo. Pengine wapo polisi baadhi hawajui nini wanachokitumikia ama pengine wanajua na hawako tayari kuacha kukitumikia icho kinachodaiwa kuwa...
  11. activisty

    CUF yataka Eddy Riyami aachiliwe haraka

    Hatuna jeshi la polisi, hatuna ulinzi, hatuna amani, sio zanzibar tu bali Tanzania yote. Kilichopo ni tawala za mabavu chini ya vikosi ya ulinzi wa mabavu hayo. Pengine wapo polisi baadhi hawajui nini wanachokitumikia ama pengine wanajua na hawako tayari kuacha kukitumikia icho kinachodaiwa kuwa...
  12. activisty

    Tanzania ya hofu chini ya Pombe

    "Nchi hii sio nchi huru na ni nchi isiyo na haki" Siyo wakwanza kuyatamka maneno haya, yamesemwa na yataendelea kusemwa na kadiri siku ziendavyo ukweli huu utaendelea na unaendelea kujithibitisha. Sita subiri siku 100 zipite ati ndo nikosoe serikali ya Pombe, hapana siwezi nyamazia...
  13. activisty

    Siku ya UHURU wa Tanzania bara (9/12): Yaliyojiri maeneo mbalimbali kuhusu kufanya usafi

    Kinachofanyika ni watu maarufu kuanzia ngazi ya kule juu, kuvaa mabuti, glovsi, kushika mafagio,kupigwa picha na kuzituma katika mitandao ya kijamii huku tukiamini kuwa ndo usafi umefanikiwa. Ni aibu hii. Ukweli ni kwamba hatujawahi kuwa huru na hatutokua huru hadi siku tutakayojua kuwa hatupo...
  14. activisty

    Dr. Sware Vincent Semesi mbunge mteule viti maalum CHADEMA ni lini amekuwa mwanachama wa CHADEMA?

    Nauleta uzi huu kwenu wana jamii, kwa wana CHADEMA wenzangu na kwa viongozi wangu wa CHADEMA. Ninavyofahamu utaratibu wa uteuzi wa viti maalum ndani ya chama una vigezo vyake ikiwa ni pamoja na; 1.Kueleza jimbo ambalo mwanachama anagombea, mchango wake kwa chama, ushiriki wake katika ujenzi wa...
  15. activisty

    Tume ya Uchaguzi na UKAWA, kama nchi hii ikiingia kwenye machafuko nyinyi ndio chanzo

    Katika kuisaka haki sacrifice lazima iwepo.kila mtu anayeenda kupiga kura na kuilinda anaenda kwa hiari yake.huyo hasani na jonni wanaenda wakijitambua. Na kwenye sacrifice hatuwwzi jitoa wote.tunajitoa wachache ili wengi waendelee kuishi katika haki. Na niseme kitu kimoja tu.ccm ndo wako...
  16. activisty

    Dr. Mwakyembe afunguka kuhusu Richmond na dhamira yake kugombea Ubunge tena - Oktoba 23, 2015

    Mwakyembe kasoma sheria lakini anashindwa kuelewa ushahidi unaweza kukusanywa na ukawa na kila chembe ya ukweli, lakini haimanishi mhusika anahatia kwa Mazingira mengine ya kawaida. Mastermind wa crime kahakikisha hakuna trace inayoelekea kwake.mjomba kahakikisha anaekamatwa ni small fish tu...
  17. activisty

    Tunaenda tukiwa washindi hatuendi kushindana

    Kabisa kilichofanywa ni kidogo sana kulinganisha na kile kingeweza kufanyika
  18. activisty

    Tunaenda tukiwa washindi hatuendi kushindana

    Umenena vyema.ile vita haiwapi hata chembe ya hoja moja ya kujitetea...
  19. activisty

    Tunaenda tukiwa washindi hatuendi kushindana

    Asante mkuu kwa kunikumbusha.ukijaribu pitia historia, majina ya viongozi wa zamani na wa sasa ni wale wale.koo zile zile ndani ya ccm na bado wanarithishana hadi sasa
  20. activisty

    Tunaenda tukiwa washindi hatuendi kushindana

    Sio sababu kubwa na ya msingi ukizingatia mazingira ya vita yenyewe
Back
Top Bottom