Matukio yanayoendelea kati ya polisi wa Tanzania na raia yanaashia kuwa polisi wanachukuliwa kama maadui na wananchi mfano jana katika tukio la kiwanda kilichopo Dar es salaam badala polisi kupokelewa na raia kwa mikono miwili walipokelewa kwa mawe.
Ukipata mitaani polisi wanaonekana kama vile...
Katika awamu ya nne ya uongozi ya urais ya uongozi wa Tanzania kumetokea wimbi la kuteua wahadhiri wa chuo kikuu cha Dar es Salaam katika nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa, mfano waziri wa nishati na madini Sospeter Muhongo, Mwajabu Possi (mwenyekiti wa bodi ya TBC), Rose Migiro (mkuu...
kwa wale wanachuo wakazi wa dar es salaam waliobahatika kupata vyumba vyuoni au hostel ninatafuta mtu wa kuniuzia room au kunibeba si mnajua accomodation shida katika vyuo vyote vya dar. niko tayari kutoa fedha kuanzia tsh 100000
Tunashindana kutukanana? Au tunaondoana mashaka? Kama kuondoana mashaka tungempa m2ma posti fact ana vielelezo , tunashindana kuposti thread nyingi? Au tunaposti thread ili kuelimshiana na kuhabarishana? Maana kama ni kuelimishana na kuhabarishana hii thread haina maana b,cause huwezi kusema...
tutampa credit baada ya kuona amerudisha heshima ya udsm kwa kurudisha mamlaka ya daruso yaliyoporwa boga la kikwete mkandara vinginevyo yeye tumuite boga la mgaya. kama
tunalamimika 2 tuanze kupambana kwa vitendo. hatutafika kwa style hii bwashe. hivi huu si ni utahira chuo cha watu zaidi ya elfu kumi anatuongoza mtu aliyepata kura sizozidi mia tano. hivi nchi kuna wasomi kweli. tuamke kuanzia kesho tulianzishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.