Search results

  1. G

    Polisi sasa wawa public enemy

    Matukio yanayoendelea kati ya polisi wa Tanzania na raia yanaashia kuwa polisi wanachukuliwa kama maadui na wananchi mfano jana katika tukio la kiwanda kilichopo Dar es salaam badala polisi kupokelewa na raia kwa mikono miwili walipokelewa kwa mawe. Ukipata mitaani polisi wanaonekana kama vile...
  2. G

    Kuna nini? kwanini UDSM tu?

    Katika awamu ya nne ya uongozi ya urais ya uongozi wa Tanzania kumetokea wimbi la kuteua wahadhiri wa chuo kikuu cha Dar es Salaam katika nafasi mbalimbali za uongozi wa kisiasa, mfano waziri wa nishati na madini Sospeter Muhongo, Mwajabu Possi (mwenyekiti wa bodi ya TBC), Rose Migiro (mkuu...
  3. G

    Wanafunzi Chuo Kikuu Mlimani Wanaenda Twisheni

    aiseeee si umetajiwa hapo juu
  4. G

    Wanafunzi Chuo Kikuu Mlimani Wanaenda Twisheni

    acheni kutukana haya ya kweli tuisheni center moja ipo changanyikeni. kubalini ukweli. mi mwenyewe japo nipo kitaa huwa ninwaona
  5. G

    Azimio la Arusha: Kuzaliwa upya?

    je ni nani alikuwa waziri mkuu wakati huo je ni nani alikuwa ni waziri wa elimu wakati azimio la arusha
  6. G

    Tundu Lissu awataja Majaji wa Kikwete wasio na Sifa (Kazi ndio inaanza)

    tundu lissu ndiye anafaa kuwa rais ajaye badala ya hao akina sijui zitto au slaa au mbowe
  7. G

    kama mkazi wa dar na umechaguliwa kujiunga na chuo

    kwa wale wanachuo wakazi wa dar es salaam waliobahatika kupata vyumba vyuoni au hostel ninatafuta mtu wa kuniuzia room au kunibeba si mnajua accomodation shida katika vyuo vyote vya dar. niko tayari kutoa fedha kuanzia tsh 100000
  8. G

    Kwa aliyepata chumba Main Campus UDSM!!! (soma hapa)

    mkubwa ukifanikisha main campus uniachie hicho cha ardhi.
  9. G

    Picha za MNYIKA akitolewa nje ya Viwanja vya Bunge

    Wabunge wa cdm na wengine wasiopenda kujipendekeza msirudi nyuma na sisi wengine tuwatie moyo kwani wanafanya hivyo kwa niaba yetu.
  10. G

    CHADEMA muache uchokozi!

    Ni vile polisi ni vilaza la sivyo wangewachukulia hatua hao waliowapa taarifa za uongo.
  11. G

    Wabunge wengi wa CHADEMA wameficha CV zao kwenye tovuti ya Bunge

    Tunashindana kutukanana? Au tunaondoana mashaka? Kama kuondoana mashaka tungempa m2ma posti fact ana vielelezo , tunashindana kuposti thread nyingi? Au tunaposti thread ili kuelimshiana na kuhabarishana? Maana kama ni kuelimishana na kuhabarishana hii thread haina maana b,cause huwezi kusema...
  12. G

    Kama sio DR. Slaa, Godbless Lema ndiye Rais 2015

    Una mawazo mgando.
  13. G

    Lema amjibu Kikwete, asema yupo tayari kwa lolote kuanzia sasa

    lema unakosea unapomwita kikwete mheshimiwa.
  14. G

    Chadema kidedea uchaguzi UDSM

    tutampa credit baada ya kuona amerudisha heshima ya udsm kwa kurudisha mamlaka ya daruso yaliyoporwa boga la kikwete mkandara vinginevyo yeye tumuite boga la mgaya. kama
  15. G

    Kwa hili Udom panatisha

    tunalamimika 2 tuanze kupambana kwa vitendo. hatutafika kwa style hii bwashe. hivi huu si ni utahira chuo cha watu zaidi ya elfu kumi anatuongoza mtu aliyepata kura sizozidi mia tano. hivi nchi kuna wasomi kweli. tuamke kuanzia kesho tulianzishe.
  16. G

    Utajuaje

    Hivi wataalamu utawezaje kumtambua mwanamke aliyetoa mimba?
  17. G

    Ukocha

    Hivi kwa hap tz ni wapi nikapata kozi ya ukocha wa handball na soccer?
Back
Top Bottom