Matukio yanayoendelea kati ya polisi wa Tanzania na raia yanaashia kuwa polisi wanachukuliwa kama maadui na wananchi mfano jana katika tukio la kiwanda kilichopo Dar es salaam badala polisi kupokelewa na raia kwa mikono miwili walipokelewa kwa mawe.
Ukipata mitaani polisi wanaonekana kama vile sio maadui. Hali kwa kiasi kikubwa kimesababishwa na vitendo vya polisi kuminya haki za raia.
Ukipata mitaani polisi wanaonekana kama vile sio maadui. Hali kwa kiasi kikubwa kimesababishwa na vitendo vya polisi kuminya haki za raia.