Inawezekana huyu dada ndo alikuwa lengo kuu la kufanikisha movie kampeni hii, so hao wamama wengine wameitwa tuu lakini target kubwa ilikuwa ni ngonjera za huyu dada, halafu mbona ni mzee sema anaigiza kama mtoto vile.
Yani yalikuwa maisha fulani yaliyokamilika, mtu mnakaa wote miaka 7 pamoja halafu sababu ya utoto tulikuwa tumesharidhika na hayo maisha na tuliona kawaida hakukuwa na mtu aliekuwa akiyachukulia maisha serious kihivyo ili ayabadirshe....kiukweli kipindi hiko pamoja na changamoto zote lakini...
Maisha ndugu yangu.....hapo kutoka nyumbani mbaka shule ni km9 kichwani umebeba mzigo wa kuni kwa ajili ya kwenda kupikia uji na kujikinga na baridi, mgongoni begi na mkononi fagio na jembe..kwa maisha hayo lazima ngozi ikose Nuru na ukomae.
Hapo nipo darasa la sita, mimi ndo huyo niliejizungushia duara jekundu...nilikuwa na vituko Hatari, fkiria kwa hako kamwili nilikuwa navaa viatu vya mzee wangu huku nikijaradia nguo zaidi ya 4 kwa ajili ya kujikinga na fimbo..watu tumetoka mbali.
Mimi hapa nishajiandaa kisaikolojia kwa lolote lile 7bu nina mahusiano na binti ambaye ameshanionya nisi fall kwake, sababu ana mtu wake na ni majukumu tu ya huyo mtu wake ndo yamepelekea wasiwe karibu, so japokuwa napata kila kitu ananijali na kunisikilza ila najua soon haya mambo yatabaki stori..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.