Search results

  1. M

    Msaada:BEI YA NOKIA X2 01 NI SHILLING NGAP????

    Laki moja na tsh. arobaini na tano
  2. M

    Universal modem zinauzwa kwa sh 40,000/= zikiwa na 8gb chip

    Mi nipo tanga utanisaidiaje?
  3. M

    On Mtwara: Kikwete, Muhongo na Bunge - Mnayakumbuka haya?

    Shukrani invisible...kwa nukuu; adui mkubwa wa watanzania ni ujinga. Watu wanauawa kwa kutokujua nia ya serikali kupeleka gesi Dar es salaam, watu hawajaelimishwa na kuwekwa wazi kwanini gesi ipelekwe Dar. Wengi wamekimbilia kutumia mabavu wakati hoja ingeweza kutatua tatizo. Wananchi...
  4. M

    Nawezaje kupata laptop yangu iliyobiwa..

    Aksanteni kwa ushirikiano wenu wadau.
  5. M

    Nawezaje kupata laptop yangu iliyobiwa..

    Habari zenu wanajf. Hv naomba msaada kama kuna mtu anaweza kunisaidia maujanja jinsi ya kuirudisha laptop iliyoibiwa au hata kumtambua mwizi wangu.. unaweza hata kunipm au kuanika hapa jamvini.
  6. M

    Kwanini Unaogopa Kufa?

    Kwanza mi nahitaji kujua kufa au kifo kwa mantiki ya kufa ni nini? Pia kitu gani au kiashiria cha kifo ni kipi?
  7. M

    CIA haimtambui Kikwete kama ni DR? Inatambua DRs watatu tuu katika Serikali ya JK!

    Mbona John Pombe Joseph Magufuli ni without portfolio. Mmekazana na J.K tu.
  8. M

    Kuhusu uombaji wa mkopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu.

    Lipia kwa m-pesa sh 30000, hapo unarushiwa password, then nenda cafe yoyote fungua link ya online registration, utajaza password ambayo ulipewa via m-pesa, baada ya kujaza utaruhusiwa kudownload form. soma form vizuri utapa maelezo. thanks.
  9. M

    km hujui kichina usiingie huu uzi..........

    So... wen chun ghien, hu jiao ban kyu? Lee bien shandong kwang hwao...huwezi amini mkuu!.
  10. M

    Tujikumbushe mboga zetu za asili: Naanza mimi na wewe taja za kwenu.

    Pwinza, gagala, figiri, nzembwa, lisalwa, mlenda...
  11. M

    Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

    Huyu jamaa anamiliki shule ya secondary kabisa kule mbeya mjini. Kumbe hata yeye lugha haipandi, halafu anavyowachapa wanafunzi wake kwa kufeli english utafikiri yeye englishman. Sio mbaya akijifunza kwa ushauri wako mdau, katuabisha sana huyu.
  12. M

    Msaada wana udom kuhusu bima ya afya

    Utazikuta chuoni hukohuko, maana hata hapa Eckernforde Tanga wamekuja wenyewe. Wanadai kuwa gharama ni Tsh 50400 kwa mwaka. Nenda chuo tu mkuu, inawezekana ikawa kila chuo kinautaratibu wake.
  13. M

    JINA la FIRST YEAR wa mwaka huu...

    M4c ndo mpango mzima. Consider the period we are.....
  14. M

    Tcu nimewakosea nini??!!!!!!

    Halafu hii system inatuchanganya wengi kweli. Yaani utakuta mtu kaandikiwa admitted kwenye chuo fulani, lakini cha kushangaza kwenye chuo husika jina hakuna. Huu ni msiba jamani...
  15. M

    Sifa za wanafunzi kulingana na vyuo

    Na wewe unajiita great thinker?
  16. M

    Ifm ifm

    Haya karibu bwana....
  17. M

    Ushauri katika d.3 ya points 14 (HGL).

    kama vyuo gani mkuu?...vyenye kutoa kozi ya education.
  18. M

    Ushauri katika d.3 ya points 14 (HGL).

    Jamani wadau naombeni ushauri wenu. Mdogo wangu amepata division 3 ya points 14 ktk combination ya HGL. Sasa hajui kama anaweza kupata chuo. WanaJF naomba mnisaidie nimshauri afanye applying vyuo gani na kozi zipi ktk vyuo ambazo pia anaweza pata mkopo. Matokeo yake ni History-D, Geography-E...
Back
Top Bottom