Search results

  1. amethyst rock

    P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

    Nilisikia kwenye media wazungu wanazo kila zinazimwa, target kubwa no kwa weusi.. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. amethyst rock

    P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

    Hahahaaa... ukisubiri isimame utachelewa ndugu.. Sent using Jamii Forums mobile app
  3. amethyst rock

    P. Diddy ni mwamba fulani hivi safi mbele ya Camera ila nyuma ya Pazia ni mafia

    Kuna nilichosikia jana kwenye media kwamba ana tabia ya kurekodi wageni mbalimbali nyumbani kwake kwa kamera za siri, kisha ana shurutisha kutoa chochote kitu... hapa amewapata wengi mno... nadhani mengi yanakuja. Sent using Jamii Forums mobile app
  4. amethyst rock

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    The term “maize” is derived from the ancient word mahiz from the Taino language — a now extinct Arawakan language — of the indigenous people of pre-Columbian America. Columbus and other explorers took maize back to Europe with them and it spread across the trade routes of Europe, Africa and Asia...
  5. amethyst rock

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Sumu kuvu ipo zaidi kwenye mahindi na karanga.. Sent using Jamii Forums mobile app
  6. amethyst rock

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Binafsi huwa najiuliza kwanini iwe afrika tu! Kwanini nchi zilizo endelea asilimia zaidi ya 70% walishie wanyama? Hata hiyo 30% inayobaki bado itatumika kwa matumizi mengine, asilimia kidogo sana inatumika kwa binadamu na sio kama mlo mkuu. Ukiingia Google vizuri utaona matumizi ya binadamu ni...
  7. amethyst rock

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    1903-1911 Sent using Jamii Forums mobile app
  8. amethyst rock

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Nimecheka kama mazuri ... kama sijakosea, ingia Google kisha tafuta matumizi ya mahindi kwa mataifa yanayolima mahindi kwa wingi duniani.. matumizi ya mahindi ni kwa kutengenezea chakula cha mifugo.. kuna majedwali utaona kuwa matumizi ya binadamu ni mwisho kabisa (wametumia neno "kwa matumizi...
  9. amethyst rock

    Hivi pisi "za kawaida" zanaliwa na akina nani? Wengi wanajisifia kupita na pisi kali tu

    Hahahaaa... wahenga wametuachaje lakini!! Wameondoka na akili zao.
  10. amethyst rock

    Tupeane mbinu za ku-save: Unaweza kurudi na posho za kazi za field nyumbani?

    Binafsi naona risk sana kiweka fedha nyingi kwenye line ya simu. Likitokea la kutokea, hiyo fedha itakua zawadi kwa mtandao husika. Kuna dogo dada yake alifariki akiacha line ya simu ina fedha ya kutosha, hakuwahi kuipata. Bank inafaa zaidi...
  11. amethyst rock

    Nchi 10 zenye Misitu mingi Afrika, Tanzania ni namba 3

    Ikumbukwe kuwa sio kila mti unafaa kwa karatasi... misitu iendelee kuwepo, ukitaka kujua umuhimu wa misitu nenda Google kisha angalia nini kinatokea ziwa Chad, ziwa limebaki kama bwawa la Mindu kwa sababu za kuharibu mazingira.
  12. amethyst rock

    Uzito kupitiliza watajwa kuwa changamoto, wahusika hatarini kupata magonjwa ya Moyo

    Kuna program nilikua naangalia jana kupitia chaneli ya Davinci (star tmes), nilichokiona nadhani kitabadilisha mtazamo wangu kuhusu matumizi ya sukari. Vinywaji na vyakula vilivyo sindikwa vinasukari ambayo ukiona kwa macho kiwango cha sukari kinachowekwa, pengine unaweza usivitumie tena...
  13. amethyst rock

    Ni movies zipi ambazo regardless na muda hauwezi kuja kuchoka kuziangalia?

    Django Un chained Pia kuna hizi Bourne, Jason Bourne The Bourne Identity Bourne Supremacy.... Kitambo sana ..Mary Shelley's Frankenstein
  14. amethyst rock

    Ni movies zipi ambazo regardless na muda hauwezi kuja kuchoka kuziangalia?

    Uipatie na home theater ndugu, hatari sana..
  15. amethyst rock

    Hizi ishu za Mungu/Dini ni very complicated

    Kuna pahala nimewahi sikia kuwa 'yupo mkuu wa anga, kazi yake ni kuzuia maombi kwenda juu.. kuvuka hapa si kazi ndogo, binafsi sielewi kwanini awe na nguvu hivi..
  16. amethyst rock

    Hizi ishu za Mungu/Dini ni very complicated

    Labda pengine tunamtafuta mahali asipokuwepo, ama tumemuacha mbali sana! Maana kuna mafundisho ukiyasikiliza, mpaka umpate ni zaidi ya ngamia kupenya kwenye tundu la sindano... anyway sitaki kukufuru, moto sio mzuri.
  17. amethyst rock

    Hizi ishu za Mungu/Dini ni very complicated

    Naunga mkono hoja, ila sina imani saana na dini. Nachojua hata babu zangu waliabudu hata kabla ya kuletewa imani za kigeni.. maana walijua ipo nguvu kuliko was, almost jamii zote duniani ziliabudu kwa namna tofauti tofauti..
  18. amethyst rock

    Ni movies zipi ambazo regardless na muda hauwezi kuja kuchoka kuziangalia?

    1. 3:10 to Yuma 2. Confession 3. Five fingers 4. Behind enemy line 5. Fury 6. T34 7. Undisputed (zote) 8. Commando (Anord) 9. Duel(1971 film) 10. The Odyssey 11. Shooter (2007) Nyingine wadau wametupia..
  19. amethyst rock

    Inakuwaje mwekezaji anageuka kuwa mwagizaji? Sukari imekuwa dili kwa wakubwa

    Niko K/mbero na nina mashamba ya miwa.. kwa hali iliyoko shambani tangu mvua za mwaka jana na hizi zinazo endelea, huwezi kuvuna miwa. Sababu kubwa ni :- kabla miwa kuvunwa shamba linachomwa moto ili kufukuza wanyama kama nyoka, nyuki nk. Kuondoa majani yasiyo takiwa (trash) katika shamba. Ila...
Back
Top Bottom